wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,454
- 4,376
Tulipokosea sana ni pale tulipoamua kuipa taaluma kisogo na kuipa siasa hadhi kubwa sana
Sifa ya mbunge kitaaluma Ni kujua Kusoma na Kuandika.... Rip Prof Maji marefu.
Bunge dhaifu na litazidi kuwa dhaifu kwa Hawa watania Ni na wateule wa ndio Mzeee...