Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,143
- 21,280
Nikiwa na akili timamu bila kutumwa na mtu, nasema binafsi kuwa simba hana uwezo wa kupindua matokeo .
Hata waroge, wachinje mbuzi, kuku, kunguru, ng'ombe na takataka zote hawana uwezo wa kufunga goli 5 mbele ya wanaume Kaizer chief!
Simba mlishakosea mwanzo mkapelekewa moto wa magoli mnne, swala la kurudisha hizo goli ni ndoto ,labda mkafunge saizi kabla makabulu kutoka bonden kule kwa mandela hawajaingia uwanjani ...
Poleni sana, mliwaza kufika mbali, ila mbio zenu zimefika hapo.
Simba mwendo mmeumaliza
Uzi tayari
Hata waroge, wachinje mbuzi, kuku, kunguru, ng'ombe na takataka zote hawana uwezo wa kufunga goli 5 mbele ya wanaume Kaizer chief!
Simba mlishakosea mwanzo mkapelekewa moto wa magoli mnne, swala la kurudisha hizo goli ni ndoto ,labda mkafunge saizi kabla makabulu kutoka bonden kule kwa mandela hawajaingia uwanjani ...
Poleni sana, mliwaza kufika mbali, ila mbio zenu zimefika hapo.
Simba mwendo mmeumaliza
Uzi tayari