Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
Eti kisa umpendi fulani na Fulani , au fulani na fulani hawakusaidii ndiyo unadhani mabaya unayoyawaza kichwani eti ndiyo yatawapata,
Hamna jambo lolote baya litawatapata na wataendelea na maisha yao wala hawatataka msaada wako
Endelea tu kufight mkuu🤣🤣
Ati, Just because you dont like someone , Doesn't mean one day they will suffer and need you.
It wont happen that way
LIFE IS NOT A BONGO MOVIE🤣🤣
Hamna jambo lolote baya litawatapata na wataendelea na maisha yao wala hawatataka msaada wako
Endelea tu kufight mkuu🤣🤣
Ati, Just because you dont like someone , Doesn't mean one day they will suffer and need you.
It wont happen that way
LIFE IS NOT A BONGO MOVIE🤣🤣