mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,697
Jamaa katokea eti alikuwa mganga na mbwembwe nyingi anadai sasa amerudi kwenye mambo ya kikristo na kumwamini Mungu anaomba msaada.
Kudanganganya sio shida shida ni pale anapodanganya hadi katikati ya Sala.
Hahahaa yaani anamwambia Mungu uongo huo aliotunga ili wapambe tuamini Tamthilia yake.
Baada ya kufanya usukununu na ufukunyungu ndani ya wiki tu, tayari, huyu mdau mafaili yake yote yameshadukuliwa na anajulikana kuliko anayovyodhani...
Sasa ni kama Sinema amezungukwa na watu wanaomjua fika huku akidhani kafanikiwa...
Sio Kila anaeomba kwa jina la Mungu anaongea na Mungu. Wengine huwa wanawapanga mnaosikiliza hayo maombi ili wawapige kirahisi.
Kwa muhutasari huyu jamaa ni tapeli mmoja aliyeingia nyumba ya Sala kuwin huruma za waumini kwa jina la Uganga, uchawi na zana za kiganga akikiri kuwa ameachana na hiyo tabia sasa anaanza maisha mpya huku akiitaji msaada kutoka kwa waumini kumbe ni tapel.
Kudanganganya sio shida shida ni pale anapodanganya hadi katikati ya Sala.
Hahahaa yaani anamwambia Mungu uongo huo aliotunga ili wapambe tuamini Tamthilia yake.
Baada ya kufanya usukununu na ufukunyungu ndani ya wiki tu, tayari, huyu mdau mafaili yake yote yameshadukuliwa na anajulikana kuliko anayovyodhani...
Sasa ni kama Sinema amezungukwa na watu wanaomjua fika huku akidhani kafanikiwa...
Sio Kila anaeomba kwa jina la Mungu anaongea na Mungu. Wengine huwa wanawapanga mnaosikiliza hayo maombi ili wawapige kirahisi.
Kwa muhutasari huyu jamaa ni tapeli mmoja aliyeingia nyumba ya Sala kuwin huruma za waumini kwa jina la Uganga, uchawi na zana za kiganga akikiri kuwa ameachana na hiyo tabia sasa anaanza maisha mpya huku akiitaji msaada kutoka kwa waumini kumbe ni tapel.