mwanakidagu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 208
- 78
Mngeiita ni ya wagogo eti ni kwa kuwa tu kiliasisiwa na kaskazini mwakiita chama cha kikabila toka kaskazini. Kwa mara nyingine watanzania wamepata pa kuanzia kuitoa ccm na genge lao madarakani, kianzio hicho ni CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO.
Msikipopoe mawe wala kukikata matawi yake yaliyoenea nchi nzima. Utunzeni mti huu, umwagilieni maji ya busara kisonge mbele kama chama kinachochukua uongozi wame kipopoa tangu shinani makao makuu kwa viongozi wake,zile single za udini, ukabila, wakaanza ku marge kwamba upo ufisadi ndani ya CHADEMA ili tu ionekane kwamba vyama vyote fisadi.
Mti huu majani yake (wanaokiunga mkono) wametishwa na baadhi yao wameuliwa.ule mpango wa nyuma ya pazia wa kujeruhi na hata kumwaga damu ili kuuaminisha umma kuwa ni chama cha fujo dhana hiyo ilikemewa vikali na kiranja mkuu wa chama chao kuwa wasitegemee polisiccm kuwatetea.Huo ungekuwa ushahidi tosha wa kimahakama kwa matukio ya Igunga, Arusha,Mbeya,Morogoro na mjini Iringa.
swali langu ni je?
1.baada ya kuambiwa msitegemee polisi mbali na makada wake kwenda majimboni kujibu hoja mtategemea nini tena,
2.tume ya uchaguzi ya bwana Kiravu tupeni matokeo ya uraisi ya kila mkoa mbona mnaipopoa sana CHADEMA na aliyekuwa mgombea wake?.Ipo siku mtakuja kusema docta kala chakuka kwa mikono bila kijiko kama hoja majukwaani mwenu.
Uacheni mti huu umee tuyaone matunda yake.
Msikipopoe mawe wala kukikata matawi yake yaliyoenea nchi nzima. Utunzeni mti huu, umwagilieni maji ya busara kisonge mbele kama chama kinachochukua uongozi wame kipopoa tangu shinani makao makuu kwa viongozi wake,zile single za udini, ukabila, wakaanza ku marge kwamba upo ufisadi ndani ya CHADEMA ili tu ionekane kwamba vyama vyote fisadi.
Mti huu majani yake (wanaokiunga mkono) wametishwa na baadhi yao wameuliwa.ule mpango wa nyuma ya pazia wa kujeruhi na hata kumwaga damu ili kuuaminisha umma kuwa ni chama cha fujo dhana hiyo ilikemewa vikali na kiranja mkuu wa chama chao kuwa wasitegemee polisiccm kuwatetea.Huo ungekuwa ushahidi tosha wa kimahakama kwa matukio ya Igunga, Arusha,Mbeya,Morogoro na mjini Iringa.
swali langu ni je?
1.baada ya kuambiwa msitegemee polisi mbali na makada wake kwenda majimboni kujibu hoja mtategemea nini tena,
2.tume ya uchaguzi ya bwana Kiravu tupeni matokeo ya uraisi ya kila mkoa mbona mnaipopoa sana CHADEMA na aliyekuwa mgombea wake?.Ipo siku mtakuja kusema docta kala chakuka kwa mikono bila kijiko kama hoja majukwaani mwenu.
Uacheni mti huu umee tuyaone matunda yake.