Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,711
- 6,033
Bosi wangu tena? Sina chuki na CCM wala vyama vya upinzani bali nakereka jinsi tulivyokuwa na upungufu wa viongozi wazuri toka vyama vyote na inasikitisha kuona watu wenye uwezo wa kuendesha nchi wanavyokimbia siasa na kuwachia washamba na arrogant people wakichukua madaraka ndani ya serikali na vyama vya siasa.Hata mimi, nikajiunga 2007. Hata forum hii kwani ingekuwa uwezo wa boss wako si ingeshafungiwa?