Jana from no where nape kaenda eti udom kukagua majengo ya udom, nakusema eti serikali ya ccm inataka kuyakarabati cause yameanza kuwa na ufa, ukiangalia majengo hayo yamejengwa na hao hao ccm kwa kiwango cha chini baada ya kuwakabidhi wakandarasi wa bei cheap, cjui mwanaizaya huyu katokea wapi, msaliti wa ccm na mwanzilishi wa ccj number moja. Tena nape usipazoee udom, cc ni CDM LIVE mwanzo mwisho. Tena ushindwe wewe nape.