Aiseeee WeweLaana inazidi kuwatafuna imeanzia kwa baba yao aliyekuwa anawapa kiburi na sasa inaendelea kuwatafuna vibaraka.
Una tatizoHawa ni magereza siyo wa Siro
Lazima atakuwa na chura tu.Duh,natamani ningeiona picha ya huyo mwanamke
Naona muosha kaoshwa
Mchimba kisima kaingia kisimani
Ova
Kabisa ,alafu kawaliaa sana wazeeLazima atakuwa na chura tu.
Oops.Jeshi limetuangusha sana awamu hii. Juzi tu hapa imetokea huko mkoa wa Tanga leo tena hili.
Una shida kubwa sanaUna tatizo