chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
....Kama vile Hotuba za Bajeti za Wizara ZISIZO za Muungano ZINAVYOJADILIWA na Kupitishwa na wabunge WOTE wa Bara na Visiwani!Ikumbukwe kwamba uteuzi wa jina la Mgombea wa Urais Visiwani hupigiwa kura na wajumbe wote wa mkutano Mkuu wa CCM bara na visiwani, wengi wa wajumbe wakiwa ni wa kutoka Bara. Nakumbuka ililalamikiwa mara kadhaa kwamba wabara ndio wanaowachagulia mgombea urais.