Hassan Gwaay, mwanafunzi kutoka Mirerani aliyeongoza kidato cha sita 2017

Mnyamakazi,
Usighadhibike ikiwa hizo fedha za MoU hazinufaishi shule za seminari
nifahamishe tu kwa utaratibu kwani huenda taarifa zangu si sahihi.

MoU ninayozungumza mimi ni hii ya makanisa na serikali iliyotayarishwa
na Prof. Mahalu.

Hatufundishani uongo wala hatuoti wala hatusiemi haya kwa kutaka kujenga
farka katika jamii.

Tunayaema haya ili ukweli uwe wazi.

Ingekuwaje kama Waislam wangekuwa wanapewa hizo 90+ bilioni kila mwaka
na Wakristo wakanyimwa?

Chukua dakika moja tu utafakari.
Mkuu Mohamed Said tafadhali naomba uthibitishe hilo kwa kutuwekea hapa hayo makubaliano kupitia MoU kama alivyoomba mdau hapo juu.

Fanya hivyo tafadhali ili tuwe na Facts.

SHUKRAN,
 
Mkuu Mohamed Said tafadhali naomba uthibitishe hilo kwa kutuwekea hapa hayo makubaliano kupitia MoU kama alivyoomba mdau hapo juu.

Fanya hivyo tafadhali ili tuwe na Facts.

SHUKRAN,
Kule Kwetu,
Unadhani kuwa Waislam wanaozungumza kuhusu MoU ni waongo?
Ikiwa wewe hujui hili basi fanya utafiti wako binafsi utapata ukweli.
 
Hawa watu sijui nani kawaloga, kweli nmeamini maskini akipata matako hulia mbwataa. Kila muda wanawaza wao wanaonewa tu,wanashindwa kukaza wanataka huruma,badilikeni.
 
Muislam wa Kaskazini... Angekuwa muislam wa pwani ningeshangaa sana..

Kaskazini ni Kaskazini siku zote..
Tangu umezaliwa umepata faida ipi kwa udini kama huu?,
Kama hujapata faida ni vema kuelewa hauna tija anyway!
 
Mbona wewe ni product ya madrassa & hujawahi kuwa TO?!

Nyie mnaharibu credibility ya dini yenu, halafu mnalia mnaonewa!
 
Mwanafunzi aliyeongoza kidato cha sita hassan gwaay ni moja kati ya tunda bora la shule za kata!

Nadhani sasa dharau dhidi ya shule za kata zitapungua!

Oh yes, pia product ya madrassa

Cc Ritz
Afadhali sasa mtaacha kulialia, kijana kawatoa kimasomaso, ile dhana ya elimu dunia sasa naona inapata uzito!
 
Kwanza inabidi ufafanue ni MoU ipi hiyo na ipo kwa makubaliano gani na hiyo pesa inatoka Wizara/mfuko upi. Nimefanya kazi na kuwa karibu na kanisa tangu utoto wangu na nimesoma seminary pia. Hizi shule zinaendeshwa kwa michango ya waumini na wenye mapenzi mema tu na sijamuona huyo mwalimu mwenye maslahi bora kama unayoota au unayosikia kwenye propaganda mnazopeana misikitini.

Tatizo ndugu zangu huwa mnafundishana uongo na kupotosha mambo kwa kiasi kikubwa dhidi ya imani zingine, huku mkisingizia eti zinapendelewa kitu ambacho ni uongo mkuu na sijui dini yenu inaruhusu!
MoU kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini
 
Back
Top Bottom