Hassan Gwaay, mwanafunzi kutoka Mirerani aliyeongoza kidato cha sita 2017

Madrasa ni HOJA MUFU. Zanzibar madrasa nyingi kuliko shule lakin ndo wanaongoza kwa kufeli. Madrasa ipi inafundisha Biology ama Chemistry,
Tangi...
Hilo la kufeli sote tumeliona lakini hatuwezi kutoa hukumu hadi
imefahamika nini tatizo.

Ikiwa pengine walimu hawasomeshi au kuna sababu nyingine
watoto hawawezi kupasi mitihani yao.

Lakini historia inaonyesha kuwa wakati wa ukoloni Zanzibar
iliongoza katika elimu.
 
Tangi...
Hilo la kufeli sote tumeliona lakini hatuwezi kutoa hukumu hadi
imefahamika nini tatizo.

Ikiwa pengine walimu hawasomeshi au kuna sababu nyingine
watoto hawawezi kupasi mitihani yao.

Lakini historia inaonyesha kuwa wakati wa ukoloni Zanzibar
iliongoza katika elimu.
Sawa umeeleweka.
Hii haina shaka kuwa Znz zamani ilikuwa inajiweza kitaaluma sana, hili sina shaka nalo maana ushahidi wa wazi upo kwa kuangalia watu maarufu wasomi ambao wametambulika na kusikika ikiwa kuna wengi wao ambao hawajasikika. Katika kutafta riziki nimebahati kufika na kukaa maeneo mbali mbali ya unguja mjini na mashamba na nimepata bahati ya kufanya kazi for quite some times with Znz "dotcom" youths ni wazuri tu kitaaluma na kiujuzi. Wasiwasi unanijia kwa hiki kizazi cha sahizi kwanini kufeli kwingiii......wenyeji wanadai hata elimu ya madrasa inayotupiwa jicho kuwa ndo chanzo cha kufeli kwa sahizi haizingatiwi sana kama walivozingatia hao wa zamani ambao walifaulu vizuri masomo ya kawaida na madrasa walifanya vema pia....

Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
 
Mnyamakazi,
Huenda hujui lakini imethibitika katika utafiti kuwa madrasa inasaidia
sana watoto wadogo katika ilm ya hifdh, yaani kuweka kumbukumbu
katika kichwa.

Mtoto wa madras akisomeshwa hutakiwa kile alichosoma aweze bila
ya kushika kitabu kukisoma ghibu yaani kutoka kichwani.

Pili na hili ni kubwa sana ni kwa mtoto kufunzwa kumuogopa Mungu
na kuwa mwenye tabia njema.

Tatu mtoto anakuwa mwepesi ya kujifunza lugha yoyote kwa fasaha
na matamshi yenye kupendeza ikiwa atajifunza lugha yoyote ile.

Unaweza ukafanya utafiti wako kuthibitisha hili.
Mbona hamuongozi sasa? Na kule Unguja 90 ya wakazi ni wa dini hiyo. By the way kuna shule yenu hapo ktk zilizoongoza tokea chini, uliwahi kuiona seminary ktk nafasi hiyo? maana wengine dini zao hazifundishi kumuogopa Mungu.
 
Kuna mambo ya kupendelewa jamani sio katika kuongoza kimasomo kati ya wanafunz wote tanzania blame it on genes he is genious
Sure but si wajua jamaa na inshu ya mfumo hasa T1 akiwaga mgalatia sasa this tym ni Shekhe Aljaah Hassan Qwaay sasa naujiuliza ina maana mfumo kristo umesusiwa saivi mpira upo upande wa pili?? Hii ndio inadhibitisha hamna cha mfumo ni mtu kujituma tu bhaaasi
 
Mnyamakazi,
Huenda hujui lakini imethibitika katika utafiti kuwa madrasa inasaidia
sana watoto wadogo katika ilm ya hifdh, yaani kuweka kumbukumbu
katika kichwa.

Mtoto wa madras akisomeshwa hutakiwa kile alichosoma aweze bila
ya kushika kitabu kukisoma ghibu yaani kutoka kichwani.

Pili na hili ni kubwa sana ni kwa mtoto kufunzwa kumuogopa Mungu
na kuwa mwenye tabia njema.

Tatu mtoto anakuwa mwepesi ya kujifunza lugha yoyote kwa fasaha
na matamshi yenye kupendeza ikiwa atajifunza lugha yoyote ile.

Unaweza ukafanya utafiti wako kuthibitisha hili.
Shule za unguja zingeogoza mkuu km inshu ni kukariri bila kuelewa!!
Mimi nadhani wazazi wa unguja inabidi wabadilike wabalance shule na madrassa na pia ikiwezekana Wizara ya Elimu kule ufumuliwe wapewe watu wenye vision tofauti kidogo.Ila why pemba wapo vizuri na unguja ni hoiii kwy ufaulu??
 
Mbona hamuongozi sasa? Na kule Unguja 90 ya wakazi ni wa dini hiyo. By the way kuna shule yenu hapo ktk zilizoongoza tokea chini, uliwahi kuiona seminary ktk nafasi hiyo? maana wengine dini zao hazifundishi kumuogopa Mungu.
Mnyamakazi,
Ikiwa sasa unahamisha mjadala kwenda kwenye shule za seminari
tunaweza tukajadili.

Huwezi kufananisha shule za Kikristo na zetu.

Kanisa linapokea 90 bilioni kila mwaka kutoka serikalini kupitia
Memorandum of Understanding hizi zinatumika katika kuimarisha
pamoja na mambo mengine shule za Kikristo.

Ikiwa hai ni hii ni wazi wataweza kuajiri waalimu bora na kuwalipa
vizuri achilia na mambo mengine ya kuongeza ufanisi katika hizo
shule.

Lakini tukirudi katika hili la Zanzibar ningependa kwanza tusubiri
tupate taarifa ya kitaalamu kwa nini shule zimefanya vibaya.
 
Mnyamakazi,
Ikiwa sasa unahamisha mjadala kwenda kwenye shule za seminari
tunaweza tukajadili.

Huwezi kufananisha shule za Kikristo na zetu.

Kanisa linapokea 90 bilioni kila mwaka kutoka serikalini kupitia
Memorandum of Understanding hizi zinatumika katika kuimarisha
pamoja na mambo mengine shule za Kikristo.

Ikiwa hai ni hii ni wazi wataweza kuajiri waalimu bora na kuwalipa
vizuri achilia na mambo mengine ya kuongeza ufanisi katika hizo
shule.

Lakini tukirudi katika hili la Zanzibar ningependa kwanza tusubiri
tupate taarifa ya kitaalamu kwa nini shule zimefanya vibaya.
Kwanza inabidi ufafanue ni MoU ipi hiyo na ipo kwa makubaliano gani na hiyo pesa inatoka Wizara/mfuko upi. Nimefanya kazi na kuwa karibu na kanisa tangu utoto wangu na nimesoma seminary pia. Hizi shule zinaendeshwa kwa michango ya waumini na wenye mapenzi mema tu na sijamuona huyo mwalimu mwenye maslahi bora kama unayoota au unayosikia kwenye propaganda mnazopeana misikitini.

Tatizo ndugu zangu huwa mnafundishana uongo na kupotosha mambo kwa kiasi kikubwa dhidi ya imani zingine, huku mkisingizia eti zinapendelewa kitu ambacho ni uongo mkuu na sijui dini yenu inaruhusu!
 
Kwanza inabidi ufafanue ni MoU ipi hiyo na ipo kwa makubaliano gani na hiyo pesa inatoka Wizara/mfuko upi. Nimefanya kazi na kuwa karibu na kanisa tangu utoto wangu na nimesoma seminary pia. Hizi shule zinaendeshwa kwa michango ya waumini na wenye mapenzi mema tu na sijamuona huyo mwalimu mwenye maslahi bora kama unayoota au unayosikia kwenye propaganda mnazopeana misikitini.

Tatizo ndugu zangu huwa mnafundishana uongo na kupotosha mambo kwa kiasi kikubwa dhidi ya imani zingine, huku mkisingizia eti zinapendelewa kitu ambacho ni uongo mkuu na sijui dini yenu inaruhusu!

Kwanza inabidi ufafanue ni MoU ipi hiyo na ipo kwa makubaliano gani na hiyo pesa inatoka Wizara/mfuko upi. Nimefanya kazi na kuwa karibu na kanisa tangu utoto wangu na nimesoma seminary pia. Hizi shule zinaendeshwa kwa michango ya waumini na wenye mapenzi mema tu na sijamuona huyo mwalimu mwenye maslahi bora kama unayoota au unayosikia kwenye propaganda mnazopeana misikitini.

Tatizo ndugu zangu huwa mnafundishana uongo na kupotosha mambo kwa kiasi kikubwa dhidi ya imani zingine, huku mkisingizia eti zinapendelewa kitu ambacho ni uongo mkuu na sijui dini yenu inaruhusu!

Mnyamakazi,
Usighadhibike ikiwa hizo fedha za MoU hazinufaishi shule za seminari
nifahamishe tu kwa utaratibu kwani huenda taarifa zangu si sahihi.

MoU ninayozungumza mimi ni hii ya makanisa na serikali iliyotayarishwa
na Prof. Mahalu.

Hatufundishani uongo wala hatuoti wala hatusiemi haya kwa kutaka kujenga
farka katika jamii.

Tunayaema haya ili ukweli uwe wazi.

Ingekuwaje kama Waislam wangekuwa wanapewa hizo 90+ bilioni kila mwaka
na Wakristo wakanyimwa?

Chukua dakika moja tu utafakari.
 
Mnyamakazi,
Huenda hujui lakini imethibitika katika utafiti kuwa madrasa inasaidia
sana watoto wadogo katika ilm ya hifdh, yaani kuweka kumbukumbu
katika kichwa.

Mtoto wa madras akisomeshwa hutakiwa kile alichosoma aweze bila
ya kushika kitabu kukisoma ghibu yaani kutoka kichwani.

Pili na hili ni kubwa sana ni kwa mtoto kufunzwa kumuogopa Mungu
na kuwa mwenye tabia njema.

Tatu mtoto anakuwa mwepesi ya kujifunza lugha yoyote kwa fasaha
na matamshi yenye kupendeza ikiwa atajifunza lugha yoyote ile.

Unaweza ukafanya utafiti wako kuthibitisha hili.
Nakushangaa sana je wakatoliki wanaokalili katekisimu yote ya kanisa wakiwa wadogo wakija kupata ekaristi je hawaandaliwi au hapa kuna ch madrasa wala nin ni akili zake na juhudi zake hongera hassan
 
Back
Top Bottom