Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,492
- 188,640
Habari.
Duniani hata siku moja hakukosi vituko kabisa hasa TFF.
Kuna taarifa hapa imeleta taharuki kwa wapenda soka baada ya mchezaji wa Wekundu wa Msimbazi Hassan Dilunga kutemwa nje ya kikosi cha timu ya taifa baada ya masaa machache kupita.
Mwanzoni alionekana yumo kwenye orodha iliyotangazwa kwa umma ila baada ya mijadala sehemu mbalimbali kutokea, TFF wametoka kifua mbele na kusema jina la mchezaji huyu, Hassan Dilunga liliandikwa kimakosa.
Walikusudia kumuita mchezaji wa Azam Mudathiri Yahya na si Hassan Dilunga.
Sasa kwa tukio hili tumtazame nani aliyekosea ni kocha au TFF?
Kama ni kocha basi nini kilitokea au kuna tafsiri hakuna ushirikiano wa kutosha kutoka kwa TFF?
Pia tujiulize mbona jina limebadirika baada ya gumzo kwenye vyombo vya habari na social media?
Hivi hawa TFF wanasimamia majukumu yao vyema maana kwa taarifa hii ni aibu sana kwa viongozi wote na safu nzima.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
View attachment 1800486
Duniani hata siku moja hakukosi vituko kabisa hasa TFF.
Kuna taarifa hapa imeleta taharuki kwa wapenda soka baada ya mchezaji wa Wekundu wa Msimbazi Hassan Dilunga kutemwa nje ya kikosi cha timu ya taifa baada ya masaa machache kupita.
Mwanzoni alionekana yumo kwenye orodha iliyotangazwa kwa umma ila baada ya mijadala sehemu mbalimbali kutokea, TFF wametoka kifua mbele na kusema jina la mchezaji huyu, Hassan Dilunga liliandikwa kimakosa.
Walikusudia kumuita mchezaji wa Azam Mudathiri Yahya na si Hassan Dilunga.
Sasa kwa tukio hili tumtazame nani aliyekosea ni kocha au TFF?
Kama ni kocha basi nini kilitokea au kuna tafsiri hakuna ushirikiano wa kutosha kutoka kwa TFF?
Pia tujiulize mbona jina limebadirika baada ya gumzo kwenye vyombo vya habari na social media?
Hivi hawa TFF wanasimamia majukumu yao vyema maana kwa taarifa hii ni aibu sana kwa viongozi wote na safu nzima.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
View attachment 1800486