Hassan Aziz akamatwa na madawa ya kulevya 1kg

Ni kama alikuwa ana wa tengenezea njia wakuu wakafiche mizigo yao mapema.
Operation aliifanya kisiasa sana.
Kila mwenye akili timamu analifahamu vema hilo, matokeo yake wakabaki na watuhumiwa ambao hata ushahidi hawakuwa nao!!! Na hawakuwa nao si kwa sababu hawafanyi hii biashara bali ni kwa sababu Makonda aliwapa mwanya ya ku-keep their profile low!
 
Kukamatwa sio Tatizo, kipindi cha jk walikua wakikamatwa lakini hakuna chochote kinsfanyika, now ukikamatwa umekamatwa
acha kupotosha mzee,watu wamefungwa 25 yrs unasema hakuna kilichofanyika,unajua ni nani aliyebadilisha sheria ya madawa ya kulevya kutoka 25 yrs mpaka life imprisonment??
 
The problem uliingia kwenye mada kwa lengo moja TU... ku-defend Magufuli Administration na stereotype zako kwamba eti namchukia Magufuli, na ndio maana nikakuuliza:-Nikakupa changamoto unitajie watu waliokamatwa na mizigo ya maana tangia JPM aingie madarakani lakini hujafanya hivyo, labda kwavile mnajidanganya hivi sasa watu wanaogopa!!!

Watu wanaogopa?! Kwenye pesa mwanaume anaogopa?! Huko migodini ni kawaida sana kusikia watu wanafukiwa na kifusi lakini watu hawajaacha kwenda migodini!!

Back in the days ilikuwa kawaida sana kusikia Wagiriki wanavyotosa wazamia meli baharini lakini watu hawakuacha kuzamia!!

Huko Medditerranean ni kawaida sana kusikia watu wamezama na mitumbwi yao lakini watu hawajaacha kuvuka na mitumbwi kwenda kutafuta zari mbele!!!

China na Iran ukimatwa na drugs hukumu yake ni kifo lakini hadi kesho watu wanapeleka mzigo China na Iran!!

Nikirudi kwenye mada, Mina cute ( na wengine wengi tu) wanaamini Task Force iliundwa baada ya Makonda kuja na zile vurugu, na ndipo nikamkumbusha TF ilikuwapo hata kabla Makonda hajawa DC wa Kinondoni let alone huyo JPM kuingia madarakan!The problem umejawa na mahaba au failure to appreciate others effort kwa sababu unachojua wewe, mtendaji mzuri ni JPM peke yake!!! Sie wengine tuna-appreciate all efforts na ndio maana nilisema hapo kabla kwamba:-
Na nikataja mafanikio ya Kitwanga katika kumkamata Tiko ingawaje ushahidi haukuwapo lakini haikuwa tatizo kwa sababu tayari US walishakuwa na ushahidi dhidi ya Tiko, na ndio maana kwa kufuata sheria, Tiko akaachiwa huru, kisha akakamatwa tena na kupelekwa US kama ilivyokuwa kwa Shikuba!

Na pia nikaweka wazi mwanzoni kabisa kwamba:

Aidha nimetoa hapa orodha ya DRUG BARONS waliokamatwa na makumi ya kilo za drugs.

Sasa ukisema eti hiyo vita hapo kabla haikuwapo, au walikamatwa kwa sababu Tz ilikuwa uchochoro as if hao watu walikamatwa kirahisi tu au walikamatwa na hizo dawa airport, basi inaonesha ni namna gani usivyo-appreciate jitihada za wengine kwavile kwako wewe bora ni JPM TU!!

Lakini pamoja na kukupa changamoto utaje hao Barons waliokamatwa under this administration bado hujafanya hivyo labda kwavile unaamini hivi sasa watu wanaogopa jela over billions of TZS!

Toa tangazo kwamba unataka watu wajitolee kwenda jela miaka 20 na wakitoka kila mmoja utampa TZS 50 Billion kama utapata magereza ya kuwaweka!!! Watu watakachofanya ni kuhesabu tu baada ya hiyo miaka 20 watakuwa na umri gani!!

Bora Mina Ayub Kiboko! Lakini kwa mpiga deal kama Kiboko ni kichekesho kukamatwa na gram 250...!!!

Ni kutokana na hilo ndio maana akina Nzowa walimweka Kiboko na wengine kama Shikuba kwenye watchlist! Walikuwa hawakurupuki, kwa sababu hawa jamaa wazuri kwenye kufuta nyayo zao, na kwahiyo ukienda kichwa kichwa kuna uwezekano mkubwa usimkute na ushahidi!!

Halafu msichokifahamu ni kwamba, drug chain multilayers network! Layer ya chini ndiyo inayo-supply moja kwa moja mtaani! Hii layer ya chini ndiyo inayoonesha ukubwa wa tatizo mtaani kupitia mateja!!!

Sasa ukweli mchungu ni kwamba, vita ya sasa inakamata sana lower layers inayofanikisha drugs kufika kwa mateja wanaoweza kuonesha moja kwa moja ni namna gani drugs kwenye eneo X imepamba moto!!!

Sasa kwavile hii lower layer ndo inakamatwa sana, ndo maana ni rahisi kuamini hivi sasa hakuna drugs kwa sababu wale mateja uchwara wanaotoa sura halisi ya kusambaa drugs wanakosa supply!!!

Na ingawaje umedai:-Hakuna hata mmoja kati ya niliowataja hata hizo enzi za JK kwamba eti walikamatwa na mzigo airport au bandarini!

Hivi kwa mfano, unapitisha vipi kilo 100 Airport?! Unapitisha vipi Kilo 100 Bandari rasmi kama ya Dar wakati unajua kuna scanners? Fuatilia duniani kote wanaokamatwa airport sio drug barons bali ni PUNDA na Drug Dealers Uchwara!

Hao hao Drug Dealers Uchwara wakishaota mapembe na kuwa well established, wanaachana na airport na kutumia usafiri wa maji kwa sababu wanajua huwezi kupitisha mzigo wa kutosha airport!! And it's very rare kukuta wanatumia bandari rasmi!

Halafu mambo mengine ni kutumia common sense tu!!

Marekani na DEA yake yote with well trained and well paid DEA Agents lakini bado wameshindwa kudhibiti hii biashara na kila siku zinaingia kama njugu!!!

Huko China na Iran pamoja na kwamba ukikamatwa na drugs unauawa, lakini hadi kesho watu wanaingiza mzigo!!

Ulaya na utajiri wao wote, with well trained agents lakini bado drugs ni tatizo!!

Halafu Magu na Askari wake wanaolipwa less than USD 1000 with poor trainings ndo mtuambie anafanya wonders! Mina ndo ananifurahisha zaidi anaposema in the next 3 years, drugs itakuwa ni history in our country!! Mina, sema unatania swahiba angu... did you really mean it?!
madawa yanauzwa kama kawaida tena na watu walio karibu kabisa na serikali, mpaka sasa jiwe hajafanya chochote ukilinganisha na kikwete in terms of mizigo mikubwa possibly multiple tons kabisa na kukamata mapapa wenyewe,jiwe anakamata vipunda hivi then watu wanamsifia anapambana na drugs
 
Kama alivyokamatwa nani ikawa hakijafanyika chochote?! The problem watu kama nyinyi mnaongozwa na ushabiki kwahiyo hata kubishana na nyie ni kupoteza muda kwa sababu HAKUNA SWALI MTAKALOULIZWA, kisha mkajibu kwa sababu mambo yenyewe hata kuyajua kwenyewe hamyajui!
hawezi akakujibu swali hilo
 
Asad aziz yupo wapi?
Halafu aliekwambia lengo la serikali ni kukamatakamata hovyo ni nani?

Ufanisi wa kupambana na drugs sio tendencies za ukamataji bro, kwanza kukamata maana yake ni kwamba system ambayo ipo responsible for prevention new in comings ipo jeopardised, mpaka imetoa loopholes za kuingia mizigo mipya, you weaker, hujui lolote wewe.
mzee unajua wewe ni mpumbavu hujui lolote, mizigo inapitishwa na tunaiona,tena na watu walio close na serikali,nitajie mapapa wawili waliokamatwa na magufuli,mimi nakutajia watano waliokamatwa na kikwete,
 
Unachekesha! Si Praise Team wenzako ndo mnasifia kufanyika hiyo kazi, hadi mkafikia wengine kuwataja hadharani! Umesahau Kitwanga alivyokuwa anatamba anaandamwa na wauza dawa za kulevya kutokana na kamatakamata yake!!

Umesahau mlipokamata hadi akina Chidi Benzi na akina Wema Sepetu!!

Umesahau mlivyowaambia hadi akina Chid Mapenzi wakaripoti?

Mmesahau mlivyoenda kumpima mkojo Manji ili mumkute na tuhuma angalau za utumiaji wa drugs!!

Mmesahau mlivyomweka ndani Majizo na baadae kumwachia?!

Halafu ukitaka kufahamu habari za Asad, jiulize ilikuwaje kuwaje baada ya kukamatwa Akhram miezi kadhaa iliyopita, The Big Brother akatinga Ikulu na kunywa chai na Magu!!

Siku chache baadae Akhram akaachiwa kwa hoja amelipa faini pamoja na kukabiliwa mashita makubwa kweli kweli... utakatishaji fedha, kumiliki silaha kinyume na sheria, uhujumu uchumi, kukutwa na nyara za seikali!
hawezi kukujibu mbuzi huyo ana mahaba na jiwe kuliko hata mama janet,hayo makosa hayana dhamana,kosa moja tu la laundering halina dhamana achana na hayo mengine,katoa faini million 200 katoka,hiyo 200 million ni very little amount ukilinganisha deal alilopiga!!!
 
Aisee... try to behave yourself! Yaani nimekuwa mjinga kisa kusema for what I know, Hussein hajafungwa, na kama amefungwa, lini alikamatwa!!

Kuna maswali mangapi nimewauliza lakini mmeshindwa kujibu, huku nami nikitoa hoja zangu with supporting evidence?! Lakini pamoja na yote hayo, sikuthubutu popote pale kukuita mjinga! Na hata ulipodai:-
Ingawaje hata mtoto wa darasa la IV hawezi kuongea kitu kama hicho lakini katu sikuthubutu kukuita mjinga!!!

Yanaisha vp wakati wauza dawa za kulevya bado wapo mtaani na hawaguswi?! Yanaisha vp mahali kama Tanzania wakati hata huko Iran au China ambako watu wanauawa kwa kesi za dawa za kulevya, lakini bado watu wanafanya hiyo biashara!!

Yaani leo Tanzania hii, yenye wafanyakazi wanaolipwa chini ya 1M ndo waje kuwamaliza watu wanaoweza kuwapa 1M x 50?!

Oh! I can understand... tunaambiwa hata rushwa imeisha!!
tena 50 million ndogo sana kwa papa,shkuba alitoa almost 1 billion kwa kigogo mmoja wa juu kabisa wa jeshi la polisi!! hii ni vita dhidi ya wenye hela,tena hela kweli kweli,umeona vurugu za tiko zile,sasa hivi viusalama vya jiwe vinalipwa mishahara midogo,haviwezi vikakataa hata ofa ya million 30 na hiyy ni hela ya bata tu kwa dealer,,hivi viusalama viende tu vikawateke chadema ndo kazi wanayoweza
 
Kuna kijana anaitwa Mfungeni Aziz alikamatwaga mwaka Jana na madawa ya kulevya yupo segerea,
Juzi tena amekamatwa kaka Yake anaitwa Hassan Aziz, amekamatwa na unga kg 1, wote wakazi wa ununio,

MAKONDA ana mabaya Yake ila yeye ndo muanzilishi wa hii oparesheni inayoendelea ya madawa ya kulevya, miaka mitatu ijayo unga utaisha kabisa Tanzania, ukitaka kujua unga haufai uwe na nduguyo anatumia unga, ni hatari
huyo nduguyo huo unga si anatumia kea hiari yake??? akiwa teja ni maamuzi yake
 
Hizo hizo ndio zinamsotesha jela mpaka leo...
Zinamsotesha jela mpaka leo kuanzia lini?! Kwanza Kiboko hajafungwa, yupo mahabusu! Lakini hoja hapa ni kwamba, there's no way mtu kama Kiboko anaweza kuwa na robo kilo ya heroine! Sasa je, mzigo uko wapi?!
 
The problem uliingia kwenye mada kwa lengo moja TU... ku-defend Magufuli Administration na stereotype zako kwamba eti namchukia Magufuli, na ndio maana nikakuuliza:-Nikakupa changamoto unitajie watu waliokamatwa na mizigo ya maana tangia JPM aingie madarakani lakini hujafanya hivyo, labda kwavile mnajidanganya hivi sasa watu wanaogopa!!!

Watu wanaogopa?! Kwenye pesa mwanaume anaogopa?! Huko migodini ni kawaida sana kusikia watu wanafukiwa na kifusi lakini watu hawajaacha kwenda migodini!!

Back in the days ilikuwa kawaida sana kusikia Wagiriki wanavyotosa wazamia meli baharini lakini watu hawakuacha kuzamia!!

Huko Medditerranean ni kawaida sana kusikia watu wamezama na mitumbwi yao lakini watu hawajaacha kuvuka na mitumbwi kwenda kutafuta zari mbele!!!

China na Iran ukimatwa na drugs hukumu yake ni kifo lakini hadi kesho watu wanapeleka mzigo China na Iran!!

Nikirudi kwenye mada, Mina cute ( na wengine wengi tu) wanaamini Task Force iliundwa baada ya Makonda kuja na zile vurugu, na ndipo nikamkumbusha TF ilikuwapo hata kabla Makonda hajawa DC wa Kinondoni let alone huyo JPM kuingia madarakan!The problem umejawa na mahaba au failure to appreciate others effort kwa sababu unachojua wewe, mtendaji mzuri ni JPM peke yake!!! Sie wengine tuna-appreciate all efforts na ndio maana nilisema hapo kabla kwamba:-
Na nikataja mafanikio ya Kitwanga katika kumkamata Tiko ingawaje ushahidi haukuwapo lakini haikuwa tatizo kwa sababu tayari US walishakuwa na ushahidi dhidi ya Tiko, na ndio maana kwa kufuata sheria, Tiko akaachiwa huru, kisha akakamatwa tena na kupelekwa US kama ilivyokuwa kwa Shikuba!

Na pia nikaweka wazi mwanzoni kabisa kwamba:

Aidha nimetoa hapa orodha ya DRUG BARONS waliokamatwa na makumi ya kilo za drugs.

Sasa ukisema eti hiyo vita hapo kabla haikuwapo, au walikamatwa kwa sababu Tz ilikuwa uchochoro as if hao watu walikamatwa kirahisi tu au walikamatwa na hizo dawa airport, basi inaonesha ni namna gani usivyo-appreciate jitihada za wengine kwavile kwako wewe bora ni JPM TU!!

Lakini pamoja na kukupa changamoto utaje hao Barons waliokamatwa under this administration bado hujafanya hivyo labda kwavile unaamini hivi sasa watu wanaogopa jela over billions of TZS!

Toa tangazo kwamba unataka watu wajitolee kwenda jela miaka 20 na wakitoka kila mmoja utampa TZS 50 Billion kama utapata magereza ya kuwaweka!!! Watu watakachofanya ni kuhesabu tu baada ya hiyo miaka 20 watakuwa na umri gani!!

Bora Mina Ayub Kiboko! Lakini kwa mpiga deal kama Kiboko ni kichekesho kukamatwa na gram 250...!!!

Ni kutokana na hilo ndio maana akina Nzowa walimweka Kiboko na wengine kama Shikuba kwenye watchlist! Walikuwa hawakurupuki, kwa sababu hawa jamaa wazuri kwenye kufuta nyayo zao, na kwahiyo ukienda kichwa kichwa kuna uwezekano mkubwa usimkute na ushahidi!!

Halafu msichokifahamu ni kwamba, drug chain multilayers network! Layer ya chini ndiyo inayo-supply moja kwa moja mtaani! Hii layer ya chini ndiyo inayoonesha ukubwa wa tatizo mtaani kupitia mateja!!!

Sasa ukweli mchungu ni kwamba, vita ya sasa inakamata sana lower layers inayofanikisha drugs kufika kwa mateja wanaoweza kuonesha moja kwa moja ni namna gani drugs kwenye eneo X imepamba moto!!!

Sasa kwavile hii lower layer ndo inakamatwa sana, ndo maana ni rahisi kuamini hivi sasa hakuna drugs kwa sababu wale mateja uchwara wanaotoa sura halisi ya kusambaa drugs wanakosa supply!!!

Na ingawaje umedai:-Hakuna hata mmoja kati ya niliowataja hata hizo enzi za JK kwamba eti walikamatwa na mzigo airport au bandarini!

Hivi kwa mfano, unapitisha vipi kilo 100 Airport?! Unapitisha vipi Kilo 100 Bandari rasmi kama ya Dar wakati unajua kuna scanners? Fuatilia duniani kote wanaokamatwa airport sio drug barons bali ni PUNDA na Drug Dealers Uchwara!

Hao hao Drug Dealers Uchwara wakishaota mapembe na kuwa well established, wanaachana na airport na kutumia usafiri wa maji kwa sababu wanajua huwezi kupitisha mzigo wa kutosha airport!! And it's very rare kukuta wanatumia bandari rasmi!

Halafu mambo mengine ni kutumia common sense tu!!

Marekani na DEA yake yote with well trained and well paid DEA Agents lakini bado wameshindwa kudhibiti hii biashara na kila siku zinaingia kama njugu!!!

Huko China na Iran pamoja na kwamba ukikamatwa na drugs unauawa, lakini hadi kesho watu wanaingiza mzigo!!

Ulaya na utajiri wao wote, with well trained agents lakini bado drugs ni tatizo!!

Halafu Magu na Askari wake wanaolipwa less than USD 1000 with poor trainings ndo mtuambie anafanya wonders! Mina ndo ananifurahisha zaidi anaposema in the next 3 years, drugs itakuwa ni history in our country!! Mina, sema unatania swahiba angu... did you really mean it?!
mzee ulikuwa wapi kutupatia habari hizi,naona wewe ni member wa kitambo wa jf ila kwenye mijadala hii sijawahi kukuona
 
Kwa taarifa hizi inaonekana unatumika na Makonda kumpigia promo, hapa hoja siyo Makonda ila kuanzishwa kwa kitengo maalum cha kupambana na madawa ya kulevya kwani huu msako ni wa nchi nzima, siyo dar peke yake. Naona unatafuta njia ya kumnusuru asing'olewe hapo far!
Drug lord kina Kiboko, Mfungeni azizi , Hassan aziz, Hussein pambakali, etc ,mbona wengi wapo jela, ila makonda ndo muanzilishi, wenye kazi yao wakaioboresha,
Unajua sasaivi kuna kikosi kazi kipo chini ya office ya rais cha kupambana na drugs, hao wakimkamata muuza unga hata kama atatangaza kuonga billion awapokei,
Mzee kiboko alitaka kuwapa milioni mia nne wakakataa, wakamuambia huna ela Ya kutuonga, wakamtolea madola ambayo ambayo ni maalum kwa kuwanasa wauzaji ikibidi kujifanya wanunuzi
 
Back
Top Bottom