Nuraty J
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 1,729
- 3,829
Kuna kijana anaitwa Mfungeni Aziz alikamatwaga mwaka Jana na madawa ya kulevya yupo segerea,
Juzi tena amekamatwa kaka Yake anaitwa Hassan Aziz, amekamatwa na unga kg 1, wote wakazi wa ununio,
MAKONDA ana mabaya Yake ila yeye ndo muanzilishi wa hii oparesheni inayoendelea ya madawa ya kulevya, miaka mitatu ijayo unga utaisha kabisa Tanzania, ukitaka kujua unga haufai uwe na nduguyo anatumia unga, ni hatari
Juzi tena amekamatwa kaka Yake anaitwa Hassan Aziz, amekamatwa na unga kg 1, wote wakazi wa ununio,
MAKONDA ana mabaya Yake ila yeye ndo muanzilishi wa hii oparesheni inayoendelea ya madawa ya kulevya, miaka mitatu ijayo unga utaisha kabisa Tanzania, ukitaka kujua unga haufai uwe na nduguyo anatumia unga, ni hatari