Hasira za Wazanzibar kuchoshwa na Muungano

Watanganyika hawawezi kulalamika maana hawana akili nzuri wao pombe tu. Na ngono uzembe. Wizi.
 
Abdulahsaf,
Naomba nikuunge mkono kwa kusema wakati mwingine dawa ni kuvunja muungano japo kwa miaka 50 kila upande ujue lake kwanza na kuwaachia historia vizazi vijavyo kwamba kama wanataka Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar basi watumie miaka kama 100 kujadili kabla hawajakubaliana kuungana kwa miaka kumi (10) ya majaribio na kama malalamiko ya mambo madogomadogo yataendelea basi wavunje muungano huo jumla na ikubalike ktk katiba zao kwamba haiwezekani watu hawa kuungana.
CCM hawana sera ya serikali tatu, CUF wanayo lakini wapo tayari kukaa kimya kwa ajili ya kutetea nafasi za Makamu wa Kwanza wa Rais na Mawaziri katika SMZ. Sasa mjadala utapitia wapi?.
Binafsi naona malalmiko mengine yanakuwa ya kipuuzi sana kiasi kwamba kama ndo mtazamo kamili kutoka Zanzibar pengine ni bora kusiwe na Muungano kabisa maana wakati mwingine hata sijui ulazima wake ni nini endapo kila wakati watu wanalalamika tu na wanacholalamikia ni mambo kama vyeo, zamu za madaraka, uanachama ktk jumuiya za kimataifa nk ambayo naona kama Tanganyika wangeweza kulalamika zaidi lakini wapo tuli hawana tatizo.

kwenye red hapo!
Tanganyika ipo mpaka ilalamike??
 
Tatizo lenu, mnafikiri labda wabara ndio tunapenda saana huo muungano.
Nyie kama mmechoka tumieni mbinu zote kuvunja.
Go, go, go! You'll not be missed!
 
Eti Zenji wakitembea Tanganyika itaumia ,najiuliza..hvi Tanzanite iko Zbr? Kwani Mt kilimanjaro iko Zbr? Kwani ziwa Viktoria liko Zbr? Kwani Geita iko Zbr? ama basi Serengeti na Ngorongoro ziko Unguja? ama kagera na mtibwa sugar viko Pemba? sasa ya nini Muungano..acheni watembee,waonesheni Ferry
 
Eti Zenji wakitembea Tanganyika itaumia ,najiuliza..hvi Tanzanite iko Zbr? Kwani Mt kilimanjaro iko Zbr? Kwani ziwa Viktoria liko Zbr? Kwani Geita iko Zbr? ama basi Serengeti na Ngorongoro ziko Unguja? ama kagera na mtibwa sugar viko Pemba? sasa ya nini Muungano..acheni watembee,waonesheni Ferry

Na kidatu,mtera,Hale n.k viko zanzibar? waulize!
 
Si wanasema washagundua kuwepo kwa mafuta?Tutasaini nao mikataba minene ili tupate mafuta kwa bei rahisi,au tutakuwa tunabadilisha almasi na mafuta.
Itakuwa hivi,siku muungano utakapovunjika wale wazenj watakao kuwa bara watapata uraia wa tanganyika moja kwa moja
Watanganyika watakaopenda kubaki zenj watachagua either wabaki hukohuko au waje bara
 
Tatizo la wengi wenu mnachukulia mambo personal, badala ya kutizama in broader view.Muungano unaweza kuwa na faida, but one will argue kama muungano huu una faida yoyote kwa Zanzibar.Muungano huu ni result of cold war or religious hate.

Muungano huu from day one, ume target zaidi kunyakua madaraka ya Zanzibar kisiasa na kiuchumi.Smart people would have predicted that its not pleasant not to be free in:

1.Making decisions about your country walfare.
2.Loosing your original identity, and be rename to other things like Tanzanians.

Nani asiejua umuhimu wa madaraka kwa wanasiasa na viongozi ?...There you go, you have your answer why we still have the so called union!

Peace
 
Mimi mawazo yangu ni kwamba kama Zanzibar wanataka kutoka kwenye muungano wasema hivyo badala ya kufafuta katiba mpya na vitu kama hivyo. Maana kama Zanzibar itakuwa kwenye muungano hawawezi kupata madaraka kuliko walionayo sasa hivi kama wanataka wawe nchi basi haitawezekana chini ya muungano. Mimi kwa mawazo yangu tatizo ya maendeleo siyo zanzibar ni culture waliyonayo ya kupuuza elimu.
 
Ati Zenj ya watu milioni 1 wana hasira na Tanganyika ya watu milioni 40, hasira ya mbu mbele ya tembo!!!!
Abdusalhaf unashauriwa kuambaaa!!
 
Wewe usijisifu kielimu na kuwaona Wzanzibar pumba,Kero za Muungano haziko Zanzibar tu, hata Bara ziko au unakataa au Bara mumerizika na kuipoteza Tanganyika yenu mulio ipigania uhuru 1961 ikawa hamuidai wala kuitaja? kuna tume Maalum imeundwa Bara yakushuhulikia kero za Muungano? jee ikiwa nyiyi mumerizika kufa kwa Tanganyika ktk mikono ya Muungano sisi bado tuko ktk kupapatua.
Na ukisema kielimu angalia population ya Tanganyika million 45 ina wasomi wangapi na population ya Zanzibar 1million ina wasomi ugawe wapi pumba?. Sisi Zanzibar Hatuna Tanzanet,Mt Kilimanjaro wala almasi lakini hatungaganii Muungano wala kuza utu wa nchi yetu kujita Wtanzania,tutabaki kuwa Wzanzibar na tumeikataa Tanzania miaka 47 tokea kufa mshirika wa Muungano Tanganyika.
 
the earlier the better-wazenji waondoke hata kesho
tanganyika ina rasilimali nyingi sana-tukijipanga tunatoka-kama wanadai wana mafuta-hatuyataki-sijaona faida yoyote ya kuungana na zanzibar-natamani aje kiongoz then avunje huu umoja-nitamshukuru sana
 
Ukweli ni kwamba Zanzibar haiwezi kupata inachotaka ndani ya muungano hivyo kama wanataka mabadiliko Muungano uishe. Pili Tanganyika hawadai nchi yao kwasababu Tanzania ni 99% Tanganyka na jina pekee si kitu!! kwa upande wa Tanganyika Zanzibar si ungezeko kubwa na hakuna mabadiliko yeyote makubwa ambayo watu watayaona muungano ukifa. Tanzania haita badilisha jina hata kama Muungano ukiisha leo. Nyere alichokosea kwenye huu muungano ni kuweka nchi ya feki inayoitwa Zanzibar ni bora ingekuwa nchi moja tu ingesaidia pande zote hasa Zanzibar.
 
Wewe usijisifu kielimu na kuwaona Wzanzibar pumba,Kero za Muungano haziko Zanzibar tu, hata Bara ziko au unakataa au Bara mumerizika na kuipoteza Tanganyika yenu mulio ipigania uhuru 1961 ikawa hamuidai wala kuitaja? kuna tume Maalum imeundwa Bara yakushuhulikia kero za Muungano? jee ikiwa nyiyi mumerizika kufa kwa Tanganyika ktk mikono ya Muungano sisi bado tuko ktk kupapatua.
Na ukisema kielimu angalia population ya Tanganyika million 45 ina wasomi wangapi na population ya Zanzibar 1million ina wasomi ugawe wapi pumba?. Sisi Zanzibar Hatuna Tanzanet,Mt Kilimanjaro wala almasi lakini hatungaganii Muungano wala kuza utu wa nchi yetu kujita Wtanzania,tutabaki kuwa Wzanzibar na tumeikataa Tanzania miaka 47 tokea kufa mshirika wa Muungano Tanganyika.

Alafu form six kwenu anaonekana BOOONGE LA MSOMI.... holly crap, nendeni bwana. mkichelewa kuna siku mtakuwa ni mkoa tu.
 
Eti Zenji wakitembea Tanganyika itaumia ,najiuliza..hvi Tanzanite iko Zbr? Kwani Mt kilimanjaro iko Zbr? Kwani ziwa Viktoria liko Zbr? Kwani Geita iko Zbr? ama basi Serengeti na Ngorongoro ziko Unguja? ama kagera na mtibwa sugar viko Pemba? sasa ya nini Muungano..acheni watembee,waonesheni Ferry
Sasa hayo yote mnayo mbona hizi kelele za mara umasikini mara kufa njaa, mara mapigano ya wafugaji na wakulima ya nini?
 
Alafu form six kwenu anaonekana BOOONGE LA MSOMI.... holly crap, nendeni bwana. mkichelewa kuna siku mtakuwa ni mkoa tu.

Hivyo hujuwi kama Zanzibar hakuna hata wanaofika Form six na ndio maana mitihani hauzwi kule kama inavyofanywa kwenu, wala husikii malalamiko ya kushuka kwa elimu.
 
Back
Top Bottom