MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
- Thread starter
- #21
Wewe jibu swali moja tu!naona umeeleza kishabiki bila mantiki zenye hoja za maana. ifike wakati sasa ushabiki tuweke pembeni na tuelezane ukweli kama wapinzani. usije kutudanganya danganya hapakama watoto wadogo. tumeshadanganywa sana sasa hivi sio wakati wake. nikuulize kitu. hivi Naibu spika ndie 1)mwenye maamuzi ya kuadhibu wabunge?
2) ni kwa nini wabunge wa upinzani walitoka nje karibu kipindi chote
3) je wabunge hawa walishindwa kujenga hoja kwa kutumia kanuni aalizozitunga wao wenyewe bungeni?
4) nini hasa faida sasa ya kipindi chote kwa wabunge hawa kukaa nje ambayo mwananchi wa kawaida ataipata.
5) wabunge hawa wataenda kusimamia bajeti gani sasa mwaka huu wa fedha kama katika kuipitisha hawakuwepo. wataijuaje kwani hawakushiriki. wataisimamiaje, wataihoji vipi ikiwa itatumika ndivyo sivyo. na wataikosoaje utekelezaji wake.
nashauri katika mwaka huu mpya wa fedha, wakae kimya kwa sababu mipango ya utekelezaji hawakuwepo bungeni. hawataweza isimamia. wasubiri mwaka ujao wa fedha 2017/18. mwaka huu imekula kwao. ni ujinga tu
Hivi mwongozo wa kuhusu wanafunzi waliotimuliwa UDOM bila utaratibu na mwongozo wa mtu aliyevuliwa kofia ni upi unapaswa kusikilizwa? Lipi lenye maslahi kwa umma? Huna jibu rudi shule.