Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Naiona hatari hii inakuja kwa watumishi wa umma kwa sasa , maana ndio sehemu na kundi pekee lililo kwa watu hawa kupatia sifa kwa MHESHIMIWA SANA Kwa maana kundi hili ndilo yatima kwa sasa tena niyatima wasio na hata na mzazi achilia mbali mtetezi, kwa Maana wakiwagusa wananchi wasio watumishi tu ni hatari kwao na kwa ajira zao,