Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,205
- 4,695
Nazungumzia biashara Mtandao yaani Network Marketing
Sizungumzii faida au hasara au uhalali wa hii biashara bali chuki au Uadui unapogoma Kujiunga nao. Hadi leo sijui nini chanzo cha wao kuwa na hasira au chuki za wazi kabisa
Namaanisha anapojaribu kukushawishi uingie au ujiunge kwenye biashara yake nawewe ukagoma au ukatoa hoja kinzani lazima ugeuke kuwa Adui yao?
Ukweli atakuchukia sana hata kama mlikuwa karibu naye
Kwanini? Kuna nini kwenye hizi biashara Mtandao? Mtu ANAFANYA uadui na kila mtu kuanzia marafiki hadi Ndugu zake wa damu kisa WAMEGOMA kujiunga kwenye biashara yake ya Mtandao
Chuki, chuki, chuki why?
Karibuni tuchangie
Sizungumzii faida au hasara au uhalali wa hii biashara bali chuki au Uadui unapogoma Kujiunga nao. Hadi leo sijui nini chanzo cha wao kuwa na hasira au chuki za wazi kabisa
Namaanisha anapojaribu kukushawishi uingie au ujiunge kwenye biashara yake nawewe ukagoma au ukatoa hoja kinzani lazima ugeuke kuwa Adui yao?
Ukweli atakuchukia sana hata kama mlikuwa karibu naye
Kwanini? Kuna nini kwenye hizi biashara Mtandao? Mtu ANAFANYA uadui na kila mtu kuanzia marafiki hadi Ndugu zake wa damu kisa WAMEGOMA kujiunga kwenye biashara yake ya Mtandao
Chuki, chuki, chuki why?
Karibuni tuchangie