Hasimu wa Bashe akana jina mahakamani; atimuliwa na wazee wa Nzega

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
mgombea wa ccm upande wa nzega mimbizi wetu dk kigangwalla ameenda kukana jina lake mahakamani jana ..habari zaidi zinasema dk alienda kukaana baada ya kushauriwa na baadhi ya waanasheria ...je hili litamsaidia kumuizinisha kugombea kama mkimbizi
YETU MACHO

Wakati hayo yakiendelea mgombea huyo alikuwa na kikao na wazee wa ccm wilaya ya nzega kuandaa jinsi gani ya kumsaidia kumkapenia..kijana huyo alipofika akumuamkia hata mtu mmoja na habari zaidi zinasema hilo liliwawakasirisha baadhi ya wazee na kumuuliza mbona hana heshima akasema sio lazima kumuamkia mtu..wazee wakiwa wanaanza kumfundisha akapigiwa simu akapokea alipomaliza akarudi ndani na kuulizwa kijana mbona huna heshima akajibu nina heshima tatizo lenu nini??akawaambia hii ni simu ya wakubwa toka juu siwezi kuacha kupookea na hakuna mwenye mamlaka kunizuia kupokea simu zangu ndipo mwenyekiti na wengine wakasema kikao kimekufa na kila mtu achukue ustaarabu wake

mzee mmoja alipoulizwa akaasema huyu kijana atujui anahisi huko juu ndio watampa ubunge haya sasa hiyo kampeni ataifanya mwenyewe na tuone ataishia wapi nishawaambia wenzangu nisisikie kikao cha kumhusu huyu muhuni alilamama mzee mmoja

Hayay huyu ndie MBUNGE WETU WA CCM KUPITIA MAKAMBA/RAIS KIKWETE
KAZI TUNAYO
 
Mbona mwandishi mwenyewe unaonekana umepitia shule tuu?!Nachelea kusema wewe ndiye mwandishi ninayemfahamu Samson Mfalila wa magazeti ya michezo!Kama si mwenyewe tafadhari badilisha hilo jina tusije tukamhukumu Mfalila aliye smart!
 
Kila kitu kina taratibu zake. Kama yeye alijua kuwa kupitishwa kuwa mgombea ubunge ni kuwa juu ya taratibu hizo, imekula kwake!
 
mgombea wa ccm upande wa nzega mimbizi wetu dk kigangwalla ameenda kukana jina lake mahakamani jana ..habari zaidi zinasema dk alienda kukaana baada ya kushauriwa na baadhi ya waanasheria ...je hili litamsaidia kumuizinisha kugombea kama mkimbizi
YETU MACHO

Wakati hayo yakiendelea mgombea huyo alikuwa na kikao na wazee wa ccm wilaya ya nzega kuandaa jinsi gani ya kumsaidia kumkapenia..kijana huyo alipofika akumuamkia hata mtu mmoja na habari zaidi zinasema hilo liliwawakasirisha baadhi ya wazee na kumuuliza mbona hana heshima akasema sio lazima kumuamkia mtu..wazee wakiwa wanaanza kumfundisha akapigiwa simu akapokea alipomaliza akarudi ndani na kuulizwa kijana mbona huna heshima akajibu nina heshima tatizo lenu nini??akawaambia hii ni simu ya wakubwa toka juu siwezi kuacha kupookea na hakuna mwenye mamlaka kunizuia kupokea simu zangu ndipo mwenyekiti na wengine wakasema kikao kimekufa na kila mtu achukue ustaarabu wake

mzee mmoja alipoulizwa akaasema huyu kijana atujui anahisi huko juu ndio watampa ubunge haya sasa hiyo kampeni ataifanya mwenyewe na tuone ataishia wapi nishawaambia wenzangu nisisikie kikao cha kumhusu huyu muhuni alilamama mzee mmoja

Hayay huyu ndie MBUNGE WETU WA CCM KUPITIA MAKAMBA/RAIS KIKWETE
KAZI TUNAYO

Akikana jina lake ndio inakuwaje na kwa nini alikane?
 
mgombea wa ccm upande wa nzega mimbizi wetu dk kigangwalla ameenda kukana jina lake mahakamani jana ..habari zaidi zinasema dk alienda kukaana baada ya kushauriwa na baadhi ya waanasheria ...je hili litamsaidia kumuizinisha kugombea kama mkimbizi
YETU MACHO

Wakati hayo yakiendelea mgombea huyo alikuwa na kikao na wazee wa ccm wilaya ya nzega kuandaa jinsi gani ya kumsaidia kumkapenia..kijana huyo alipofika akumuamkia hata mtu mmoja na habari zaidi zinasema hilo liliwawakasirisha baadhi ya wazee na kumuuliza mbona hana heshima akasema sio lazima kumuamkia mtu..wazee wakiwa wanaanza kumfundisha akapigiwa simu akapokea alipomaliza akarudi ndani na kuulizwa kijana mbona huna heshima akajibu nina heshima tatizo lenu nini??akawaambia hii ni simu ya wakubwa toka juu siwezi kuacha kupookea na hakuna mwenye mamlaka kunizuia kupokea simu zangu ndipo mwenyekiti na wengine wakasema kikao kimekufa na kila mtu achukue ustaarabu wake

mzee mmoja alipoulizwa akaasema huyu kijana atujui anahisi huko juu ndio watampa ubunge haya sasa hiyo kampeni ataifanya mwenyewe na tuone ataishia wapi nishawaambia wenzangu nisisikie kikao cha kumhusu huyu muhuni alilamama mzee mmoja

Hayay huyu ndie MBUNGE WETU WA CCM KUPITIA MAKAMBA/RAIS KIKWETE
KAZI TUNAYO

mkuu amekana jina lake la sasa au la zamani?????????/
 
mgombea wa ccm upande wa nzega mimbizi wetu dk kigangwalla ameenda kukana jina lake mahakamani jana ..habari zaidi zinasema dk alienda kukaana baada ya kushauriwa na baadhi ya waanasheria ...je hili litamsaidia kumuizinisha kugombea kama mkimbizi
YETU MACHO

Wakati hayo yakiendelea mgombea huyo alikuwa na kikao na wazee wa ccm wilaya ya nzega kuandaa jinsi gani ya kumsaidia kumkapenia..kijana huyo alipofika akumuamkia hata mtu mmoja na habari zaidi zinasema hilo liliwawakasirisha baadhi ya wazee na kumuuliza mbona hana heshima akasema sio lazima kumuamkia mtu..wazee wakiwa wanaanza kumfundisha akapigiwa simu akapokea alipomaliza akarudi ndani na kuulizwa kijana mbona huna heshima akajibu nina heshima tatizo lenu nini??akawaambia hii ni simu ya wakubwa toka juu siwezi kuacha kupookea na hakuna mwenye mamlaka kunizuia kupokea simu zangu ndipo mwenyekiti na wengine wakasema kikao kimekufa na kila mtu achukue ustaarabu wake

mzee mmoja alipoulizwa akaasema huyu kijana atujui anahisi huko juu ndio watampa ubunge haya sasa hiyo kampeni ataifanya mwenyewe na tuone ataishia wapi nishawaambia wenzangu nisisikie kikao cha kumhusu huyu muhuni alilamama mzee mmoja

Hayay huyu ndie MBUNGE WETU WA CCM KUPITIA MAKAMBA/RAIS KIKWETE
KAZI TUNAYO

Bado ndio kwanza tuko kwenye mazoezi mechi haijaanza bado si mchezo yaani kazi ipo na si ndogo
 
Pure umbeya. How can I/we trust you?


Habari hii imeandikwa na Mwananchi:




Kigwangalla azua kizaazaa wilayani Nzega


Thursday, 19 August 2010 09:29

Mwandishi Wetu, Nzega



KAMATI ya Siasa ya CCM Wilaya ya Nzega, imevunjika baada ya mgombea ubunge wa jimbo hilo Dk Hamis Kigwangalla kudaiwa kuonyesha utovu wa nidhamu katika kikao hicho.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Nzega, Dk Kigwangalla alikuwa hatii anachoelezwa na mwenyekiti wa kamati hiyo hivyo kusababisha mwenyekiti kuvunja kamati hiyo.

"Ni kweli kamati imevunjika leo (jana) wakati tukijadili ajenda ya mwisho, lakini sisi kama chama lazima tutamsaidia ili aweze kushinda,"kilieleza chanzo hicho.

Taarifa zilisema kwamba mgombea huyo aliingia katika kikao hicho ambacho lengo lake lilikuwa ni kupanga mkakati wa kumsaidia kushinda, lakini hakuwasalimia wajumbe.

Kufuatia hatua hiyo, mwenyekiti wa kikao akamuliza kwanini hajasalimia wajumbe, lakini kabla ya Kigwangalla kujibu, simu yake ikaita.

"Alipoanza kupokea simu kabla ya kujibu swali, mwenyekiti akamwamuru azime simu, yeye akamjibu kwamba hawezi kwamba hawezi kuacha kupokea kwa kuwa inatoka kwa wakubwa," alisema mjumbe mmoja aliyekuwako katika kikao hicho.

Kutokana na kitendo hicho, wajumbe waliamua kuvunja kikao bila ya ajenda ya kupanga mkakati wa ushindi kujadiliwa.

Hata hivyo, Dk Kigwangalla alipopigiwa simu ili aeleze kuhusu taarifa hizo simu yake ilikuwa ikiita bila kupokelewa.

Katika hatua nyingine, taarifa kutoka Nzega zinadai kuwa maaofisa wa Idara ya Uhamiaji wamelazimika kumhoji mama yake, Dk Kigwangala ili waweze kupata ukweli wa uraia wake.


 
CCM achana na huyo Dr Kigwangwalla,kwa vile issue ya Bashe imekwisha mrudisheni kwenye mbio za kusaka kiti cha jimbo hilo.

Dr Kigwangwalla atakuyumbisheni sana mpaka mtajuta kumfafamu
 
Hii Nzega ilikuwa apewe Bashe, lakini ugomvi wake yeye na Ridhiwani ndani ya UVCCM inapelekea hata kumchomea (uongo) ili tu mambo yake yakwame. Hapo JK an JK juniour ROHO KWATU kabisa. Namsikitikia kibaraka Ma-rope hapo atakapo kuja kukaa upande wetu, mwambieni aangalie historia ya makatibu wa CCM wote (Gama, yule wa Iringa, Kolimba (RIP) ukiondoa Rashid (RIP). Walitolewa na kunuka kama kinyesi.
 
ma rope atakuja kujuta siku akiondolewa ukatibu mkuu, and it is very soon.
 
Hii Nzega ilikuwa apewe Bashe, lakini ugomvi wake yeye na Ridhiwani ndani ya UVCCM inapelekea hata kumchomea (uongo) ili tu mambo yake yakwame. Hapo JK an JK juniour ROHO KWATU kabisa. Namsikitikia kibaraka Ma-rope hapo atakapo kuja kukaa upande wetu, mwambieni aangalie historia ya makatibu wa CCM wote (Gama, yule wa Iringa, Kolimba (RIP) ukiondoa Rashid (RIP). Walitolewa na kunuka kama kinyesi.
Eti Kikwete amekana Ridhiwani hahusiki na kuondolewa kwa Bashe!
 
Mbona mwandishi mwenyewe unaonekana umepitia shule tuu?!Nachelea kusema wewe ndiye mwandishi ninayemfahamu Samson Mfalila wa magazeti ya michezo!Kama si mwenyewe tafadhari badilisha hilo jina tusije tukamhukumu Mfalila aliye smart!

Huyu kweli hawezi kuwa Sam Mfalila! Mheshimiwa badili hilo jina haraka! Unashusha hadhi za watu!
 
Samson Mfalila katika nchi ya watu milioni 40 wanaweza kuwa zaidi ya wawili.Huyo mnayemjua nyinyi wengine huenda hawamjui pia!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom