Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
mgombea wa ccm upande wa nzega mimbizi wetu dk kigangwalla ameenda kukana jina lake mahakamani jana ..habari zaidi zinasema dk alienda kukaana baada ya kushauriwa na baadhi ya waanasheria ...je hili litamsaidia kumuizinisha kugombea kama mkimbizi
YETU MACHO
Wakati hayo yakiendelea mgombea huyo alikuwa na kikao na wazee wa ccm wilaya ya nzega kuandaa jinsi gani ya kumsaidia kumkapenia..kijana huyo alipofika akumuamkia hata mtu mmoja na habari zaidi zinasema hilo liliwawakasirisha baadhi ya wazee na kumuuliza mbona hana heshima akasema sio lazima kumuamkia mtu..wazee wakiwa wanaanza kumfundisha akapigiwa simu akapokea alipomaliza akarudi ndani na kuulizwa kijana mbona huna heshima akajibu nina heshima tatizo lenu nini??akawaambia hii ni simu ya wakubwa toka juu siwezi kuacha kupookea na hakuna mwenye mamlaka kunizuia kupokea simu zangu ndipo mwenyekiti na wengine wakasema kikao kimekufa na kila mtu achukue ustaarabu wake
mzee mmoja alipoulizwa akaasema huyu kijana atujui anahisi huko juu ndio watampa ubunge haya sasa hiyo kampeni ataifanya mwenyewe na tuone ataishia wapi nishawaambia wenzangu nisisikie kikao cha kumhusu huyu muhuni alilamama mzee mmoja
Hayay huyu ndie MBUNGE WETU WA CCM KUPITIA MAKAMBA/RAIS KIKWETE
KAZI TUNAYO
YETU MACHO
Wakati hayo yakiendelea mgombea huyo alikuwa na kikao na wazee wa ccm wilaya ya nzega kuandaa jinsi gani ya kumsaidia kumkapenia..kijana huyo alipofika akumuamkia hata mtu mmoja na habari zaidi zinasema hilo liliwawakasirisha baadhi ya wazee na kumuuliza mbona hana heshima akasema sio lazima kumuamkia mtu..wazee wakiwa wanaanza kumfundisha akapigiwa simu akapokea alipomaliza akarudi ndani na kuulizwa kijana mbona huna heshima akajibu nina heshima tatizo lenu nini??akawaambia hii ni simu ya wakubwa toka juu siwezi kuacha kupookea na hakuna mwenye mamlaka kunizuia kupokea simu zangu ndipo mwenyekiti na wengine wakasema kikao kimekufa na kila mtu achukue ustaarabu wake
mzee mmoja alipoulizwa akaasema huyu kijana atujui anahisi huko juu ndio watampa ubunge haya sasa hiyo kampeni ataifanya mwenyewe na tuone ataishia wapi nishawaambia wenzangu nisisikie kikao cha kumhusu huyu muhuni alilamama mzee mmoja
Hayay huyu ndie MBUNGE WETU WA CCM KUPITIA MAKAMBA/RAIS KIKWETE
KAZI TUNAYO