gstar
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 759
- 1,245
Kuweka hashtag kama #BringbackMdudeAlive kisha baada ya hapo unavuta shuka unalala haitosaidia chochote hawa jamaa kama wamefumba macho vile wala hawaoni.
Hata kusaini petition mitandaoni nayo nionavyo mimi ni kama kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji.
Sijui tutumie njia gani...
Hata kusaini petition mitandaoni nayo nionavyo mimi ni kama kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji.
Sijui tutumie njia gani...