Hata mtatiro wa CUF kuhamia CCM tatizo ni Mbowe? Nenda hospitali dogo ukaondolewe hiyo minyoo kwenye ubongo.Tatizo mbowe na sio njaa.
Mbowe ndio aliidhinisha matrilion kwa ajili ya manunuzi sio?!Tatizo mbowe na sio njaa.
Huyo anakinyesi kwenye ubongoHata mtatiro wa CUF kuhamia CCM tatizo ni Mbowe? Nenda hospitali dogo ukaondolewe hiyo minyoo kwenye ubongo.
Wapinzani wana njaa KaliMzee hajakosea njaa njaa njaa
Ukitaka kumnunua Rungwe mhonge uraisAkihojiwa na mtangazaji wa DW Radio Sudi Mnete,Mwenyekiti wa CHAUMA Hashimu Rungwe amesema kuwa tatizo kubwa linalopelekea hamahama inayoendelea ni njaa.
Rungwe amesema kuwa alishasema kuwa Tanzania na watanzania kwa ujumla wana njaa kali na hivyo haishangazi kuona wanasiasa wakihama. Ameongeza kuwa hali ya kisiasa nchini ni ya kawaida kwakuwa mambo hayo ya kuhamahama yalitarajiwa.
Wangapi mnakubaliana naye?
Mbowe anatafuna ruzuku bila ya huruma.Mbowe ndio aliidhinisha matrilion kwa ajili ya manunuzi sio?!
Mtatito jimbo la Kubenea Ubungo analichukuaNjaa ya mwita waitara ni ya dizaini yake!! Mtatiro anaweza kuwa hajanunuliwa kwa cash, ila kaahidiwa tu kugombea ubunge nae akajaa!!!
Akihojiwa na mtangazaji wa DW Radio Sudi Mnete,Mwenyekiti wa CHAUMA Hashimu Rungwe amesema kuwa tatizo kubwa linalopelekea hamahama inayoendelea ni njaa.
Rungwe amesema kuwa alishasema kuwa Tanzania na watanzania kwa ujumla wana njaa kali na hivyo haishangazi kuona wanasiasa wakihama. Ameongeza kuwa hali ya kisiasa nchini ni ya kawaida kwakuwa mambo hayo ya kuhamahama yalitarajiwa.
Wangapi mnakubaliana naye?
Wengine bwana cjui hata mnakulupuka vipi utadhani mtu anayejisaidia kichakani!!huko CUF na ACT WAZALENDO mbowe ni kiongozi huko??Tatizo mbowe na sio njaa.
Lazaro hatamsahau Mbowe daima.Nitamuheshimu Lazaro Nyalandu daima.
Utakufa wewe kwanza na sio chademaJiwe gizani na dawa imepenya vizuri kabisa.
Pole sana mkuu ila hakuna la kufanya chama ndiyo kinakufa hivyo.
Out of context! Fake GT!Mbowe anatafuna ruzuku bila ya huruma.
2. Mbowe anang' ang' ania uwenyekiti na ukimpinga tu anakuambia utamtambua yeye ni nani.
3. Mbowe anakigawa chama kwa kujenga makundi ndani ya chama.
4. Mbowe anatumia wabunge wa viti maalumu kama mtaji wake.
5. Mbowe kamuweka katibu mkuu ambaye hana uwezo wowote wa kisiasa na anamlipa milion 7 kwa mwezi.
6. Mbowe anaendesha chama kikabila