Hashim Rungwe Sipunda: Huyu mnayemuita fisadi si mumkamate au nyie waongo?

Nathason2

JF-Expert Member
May 20, 2015
598
680
Ukurasa wa Facebook wa Gazeti la kila siku la mwananchi umepakia Video ikimwonesha Hashimu Rungwe akihoji Nchi imepindia wapi pamoja na mambo mengine Rungwe anaonesha kuwa katika kipindi cha mwaka mmoja alichohudumu kama raisi,Raisi magufuli hajafanya lolote zaidi ya ndege na kwamba kununua ndege sio issue ya msingi.

Katika video Hiyo Rungwe anadai kuwa Nchi haijapinda kama ambavyo Raisi Magufuli amekuwa akihubiri badala yake yeye Raisi maagufuli anaongoza nchi kwa chuki binafsi ambazo hata hivo hajaziweka hadharani na badala yake katumia mafanikio ya serikali ya awamu ya nne kuhoji Nchi imepindia wapi?

Kwa namna Rungwe alivyowasilisha hoja zake ni dhahiri anamaanisha kuwa serikali ya Raisi Magufuli hajafanya lolote,anaongoza nchi kwa chuku,Kudai nchi hii ilifikia pabaya ni kuwahadaa wananchi na mambo mengine aliyoyasema kwenye Video hiyo.

Ni vyema sasa wasaidizi wa Raisi mkamjibu Rungwe swali lake la Msingi Nchi imepindia wapi ili dhamira ya Raisi wetu Mtukufu Ipate kueleweka vyema miongoni mwa wananchi,kuiacha hoja hii ya rungwe bila majibu ni kudhalilisha dhamira ya Raisi Pamoja na kufifisha jitihada zake hivyo busara itumike na wasaidizi wake mtoe majibu kwa rungwe ya kuridhisha watanzania Otherwise tutaconclude kuwa Rungwe ni mkweli.
 
Kuna falsafa inasema "KILA UJINGA UNAOUFANYA UTAKUGHARIMU" Ni wazi kuwa kuna kosa limefanyika kabla ya haya yote. Bila kujali ni coincidence au kwa makusudi. Lakini zaidi ya haya yote hapa kuna fukuto la kilio cha watu mioyoni mwao. Na tukumbuke uvumilivu una mwisho.
 
Ukurasa wa Facebook wa Gazeti la kila siku la mwananchi umepakia Video ikimwonesha Hashimu Rungwe akihoji Nchi imepindia wapi pamoja na mambo mengine Rungwe anaonesha kuwa katika kipindi cha mwaka mmoja alichohudumu kama raisi,Raisi magufuli hajafanya lolote zaidi ya ndege na kwamba kununua ndege sio issue ya msingi.

Katika video Hiyo Rungwe anadai kuwa Nchi haijapinda kama ambavyo Raisi Magufuli amekuwa akihubiri badala yake yeye Raisi maagufuli anaongoza nchi kwa chuki binafsi ambazo hata hivo hajaziweka hadharani na badala yake katumia mafanikio ya serikali ya awamu ya nne kuhoji Nchi imepindia wapi?

Kwa namna Rungwe alivyowasilisha hoja zake ni dhahiri anamaanisha kuwa serikali ya Raisi Magufuli hajafanya lolote,anaongoza nchi kwa chuku,Kudai nchi hii ilifikia pabaya ni kuwahadaa wananchi na mambo mengine aliyoyasema kwenye Video hiyo.

Ni vyema sasa wasaidizi wa Raisi mkamjibu Rungwe swali lake la Msingi Nchi imepindia wapi ili dhamira ya Raisi wetu Mtukufu Ipate kueleweka vyema miongoni mwa wananchi,kuiacha hoja hii ya rungwe bila majibu ni kudhalilisha dhamira ya Raisi Pamoja na kufifisha jitihada zake hivyo busara itumike na wasaidizi wake mtoe majibu kwa rungwe ya kuridhisha watanzania Otherwise tutaconclude kuwa Rungwe ni mkweli.



Mimi namjibu kwa haraka na urahisi kabisa kwamba yote aliyoyataja ambayo ni mambo mazuri kabisa kufanywa na Serikali ya CCM, yamefanyika kwa kipindi cha miaka 10 pamoja na Awamu nyingine zilizopita yaani II na ya III, hivyo kutegemea kwamba ndani ya Mwaka I Awamu ya V ifanye mengi zaidi ya Awamu tatu zilizopita ni ujinga na kwanza hakuna mashindano kwani wote ni Viongozi wa CCM na wanatekeleza Ilani za CCM!

Ila nimefurahia kwamba Upinzani wamekubali kwamba CCM imefanya makubwa Tanzania kinyume na wengine ambao husema kwamba miaka 50 hakuna kilichofanyika, hivyo nimefurahi kwamba mme bow down kwamba Nchi yetu inasonga mbele tena kwa kasi ya ajabu kama Mpinzani alivyosema!
 
Mimi namjibu kwa haraka na urahisi kabisa kwamba yote aliyoyataja ambayo ni mambo mazuri kabisa kufanywa na Serikali ya CCM, yamefanyika kwa kipindi cha miaka 10 pamoja na Awamu nyingine zilizopita yaani II na ya III, hivyo kutegemea kwamba ndani ya Mwaka I Awamu ya V ifanye mengi zaidi ya Awamu tatu zilizopita ni ujinga na kwanza hakuna mashindano kwani wote ni Viongozi wa CCM na wanatekeleza Ilani za CCM!

Ila nimefurahia kwamba Upinzani wamekubali kwamba CCM imefanya makubwa Tanzania kinyume na wengine ambao husema kwamba miaka 50 hakuna kilichofanyika, hivyo nimefurahi kwamba mme bow down kwamba Nchi yetu inasonga mbele tena kwa kasi ya ajabu kama Mpinzani alivyosema!
Itakuchukua karne kumwelewa huyu Rungwe!akili za huyu zenye funza mawazo yote Ccm Tu we kwel boya hapa nchi kwanza Ccm peleka ukweni!
 
Mimi namjibu kwa haraka na urahisi kabisa kwamba yote aliyoyataja ambayo ni mambo mazuri kabisa kufanywa na Serikali ya CCM, yamefanyika kwa kipindi cha miaka 10 pamoja na Awamu nyingine zilizopita yaani II na ya III, hivyo kutegemea kwamba ndani ya Mwaka I Awamu ya V ifanye mengi zaidi ya Awamu tatu zilizopita ni ujinga na kwanza hakuna mashindano kwani wote ni Viongozi wa CCM na wanatekeleza Ilani za CCM!

Ila nimefurahia kwamba Upinzani wamekubali kwamba CCM imefanya makubwa Tanzania kinyume na wengine ambao husema kwamba miaka 50 hakuna kilichofanyika, hivyo nimefurahi kwamba mme bow down kwamba Nchi yetu inasonga mbele tena kwa kasi ya ajabu kama Mpinzani alivyosema!
Mbona umeanzia awamu ya II? Ya kwanza haikuwa ya CCM? Au ni chuki binafsi?
 
Mimi namjibu kwa haraka na urahisi kabisa kwamba yote aliyoyataja ambayo ni mambo mazuri kabisa kufanywa na Serikali ya CCM, yamefanyika kwa kipindi cha miaka 10 pamoja na Awamu nyingine zilizopita yaani II na ya III, hivyo kutegemea kwamba ndani ya Mwaka I Awamu ya V ifanye mengi zaidi ya Awamu tatu zilizopita ni ujinga na kwanza hakuna mashindano kwani wote ni Viongozi wa CCM na wanatekeleza Ilani za CCM!

Ila nimefurahia kwamba Upinzani wamekubali kwamba CCM imefanya makubwa Tanzania kinyume na wengine ambao husema kwamba miaka 50 hakuna kilichofanyika, hivyo nimefurahi kwamba mme bow down kwamba Nchi yetu inasonga mbele tena kwa kasi ya ajabu kama Mpinzani alivyosema!
Kwa kudai kwako kwamba awamu zilizopita zimefanya mazuri ni kujaribu kupingana na mkuu wa nchi ambaye anasema nchi imepinda na anainyosha! Usijitie kipofu kwamba huoni baada ya kuingia madarakani tulianza kuhakiki upya kila kitu kiasi kwamba kuna mambo mengi yamesimama hadi hapo uhakiki utakapokamilika. Hii inamaanisha kwamba awamu zilizopita zilifail!
 
Kwa kudai kwako kwamba awamu zilizopita zimefanya mazuri ni kujaribu kupingana na mkuu wa nchi ambaye anasema nchi imepinda na anainyosha! Usijitie kipofu kwamba huoni baada ya kuingia madarakani tulianza kuhakiki upya kila kitu kiasi kwamba kuna mambo mengi yamesimama hadi hapo uhakiki utakapokamilika. Hii inamaanisha kwamba awamu zilizopita zilifail!


Kila Awamu inayoingia inaona hivyo, Awamu ya II ya Mzee Mwinyi iliona kuwa ya I sehemu kubwa ilishindwa na kuanza kufungua nchi, Awamu ya III Mzee Mkapa aliona Mzee ambaye tulimuita Mzee Ruksa aliachia sana uchumi na kuanza kurekekebisha, ya IV Mzee Kikwete vivyo hivyo alirekebsha ya Mzee Mkapa na sasa ya V vivyo hivyo wanaona kuna baadhi ya mambo yalikuwa hayafanyiki sawa na ni lazima yarekebishwe! Kwanza unaweza kusema hata Awamu ya I Mlm.Nyerere aliona Mkoloni alikosea mengi pia na kuanza kurekebisha na kufanya tofauti, hivyo ni kawaida sana!
 
Mbona umeanzia awamu ya II? Ya kwanza haikuwa ya CCM? Au ni chuki binafsi?


Uelewa wangu wa Awamu ya I siyo mzuri sana, hivyo zaidi ya kusikia kwa watu siwezi kuuhukumu sana, ila kuanzia II-V ninaelewa vizuri sana tu!
 
Ukurasa wa Facebook wa Gazeti la kila siku la mwananchi umepakia Video ikimwonesha Hashimu Rungwe akihoji Nchi imepindia wapi pamoja na mambo mengine Rungwe anaonesha kuwa katika kipindi cha mwaka mmoja alichohudumu kama raisi,Raisi magufuli hajafanya lolote zaidi ya ndege na kwamba kununua ndege sio issue ya msingi.

Katika video Hiyo Rungwe anadai kuwa Nchi haijapinda kama ambavyo Raisi Magufuli amekuwa akihubiri badala yake yeye Raisi maagufuli anaongoza nchi kwa chuki binafsi ambazo hata hivo hajaziweka hadharani na badala yake katumia mafanikio ya serikali ya awamu ya nne kuhoji Nchi imepindia wapi?

Kwa namna Rungwe alivyowasilisha hoja zake ni dhahiri anamaanisha kuwa serikali ya Raisi Magufuli hajafanya lolote,anaongoza nchi kwa chuku,Kudai nchi hii ilifikia pabaya ni kuwahadaa wananchi na mambo mengine aliyoyasema kwenye Video hiyo.

Ni vyema sasa wasaidizi wa Raisi mkamjibu Rungwe swali lake la Msingi Nchi imepindia wapi ili dhamira ya Raisi wetu Mtukufu Ipate kueleweka vyema miongoni mwa wananchi,kuiacha hoja hii ya rungwe bila majibu ni kudhalilisha dhamira ya Raisi Pamoja na kufifisha jitihada zake hivyo busara itumike na wasaidizi wake mtoe majibu kwa rungwe ya kuridhisha watanzania Otherwise tutaconclude kuwa Rungwe ni mkweli.

Wana JF, Hivi kweli maoni ya mtu kama huyu nayo yanaletwa JF! hajui hata Universities zilikuwaje miaka 10 iliyopita halafu naye eti alitaka kuwa rais!

Ajabu kuna mtu mbele yake anaitikia kwamba katoa points. Ktk miaka kumi ya utawala ni trilioni ngapi za bajeti zimetengwa ktk serikali? Matumizi yake yalikuwa ni UDOM, barabara ya kijitonyama, uwanja wa songwe, uwanja wa Mwanza, Uwanja wa Dar, BRT basi! Hivi kweli huyu angekuwa ni rais, nini tungeona. Hajui kwamba hayo mambo yalianza kabla ya miaka 10 na mengine hayajafika mwisho hadi leo.
 
Mimi namjibu kwa haraka na urahisi kabisa kwamba yote aliyoyataja ambayo ni mambo mazuri kabisa kufanywa na Serikali ya CCM, yamefanyika kwa kipindi cha miaka 10 pamoja na Awamu nyingine zilizopita yaani II na ya III, hivyo kutegemea kwamba ndani ya Mwaka I Awamu ya V ifanye mengi zaidi ya Awamu tatu zilizopita ni ujinga na kwanza hakuna mashindano kwani wote ni Viongozi wa CCM na wanatekeleza Ilani za CCM!

Ila nimefurahia kwamba Upinzani wamekubali kwamba CCM imefanya makubwa Tanzania kinyume na wengine ambao husema kwamba miaka 50 hakuna kilichofanyika, hivyo nimefurahi kwamba mme bow down kwamba Nchi yetu inasonga mbele tena kwa kasi ya ajabu kama Mpinzani alivyosema!
Hoja ya Mzee Rungwe imejikita kwenye nadharia kuwa nchi ilipinda. Yeah, ukitazama kwa ualhalisia, mzee awam ya nne ameacha Legacy, leo Dar ina mambo mengi ya kisasa, majengo,BRT,Daraja la Kisasa na la kipekee, kila binadam ana mapungufu yake. Kipekee nasema awam iliyopita ilijitahidi, ilipasa kuendelea pale tulipoishia na kusonga mbele, ila kuwa awamu iliyopita ni kama haikuacha legacy bali ni kupinda tu, hapo hapana.
 
Back
Top Bottom