gwa myetu
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 4,413
- 4,589
Ndo maana nasema huyo Rungwe binafsi amenifurahisha sana kwani yeye kama Mpinzani amekiri kwamba Serikali ya CCM imefanya makubwa sana nchi hii na ameyeorodhesha kinyume na baadhi ya watu wanavyopotosha kwamba CCM haijafanya chochote miaka 50 ya Uhuru, kuhusu Awamu ya V sijawahi kusikia yoyote akisema Serikali ya CCM ya Awamu V haijafanya chochote hata raisi Magufuli mara nyingi sana amesema Mzee Kikwete na Serikali yake wamefanya kazi kubwa sana muacheni apumzike!
Hebu mjibu basi na hiyo hoja ya Rungwe kwamba magu nashindwa kumkamata Lowasa pamoja na kuwa na jeshi na mahakama maalum ya mafisadi...
Nasubiri jibu lako mkuu au kada yoyote