Hashim Rungwe: Kutaja sifa kwa Mwigulu kunaumiza wananchi

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,498
51,090

Hashim Rungwe anasema

1. Kuhusu hizi tozo wananchi hawakuulizwa wala kushirikishwa

2. Amesema serikali haibani matumizi, kwa mfano amesema kuwa magari ya vigogo ni bei kubwa, service yanahitaji service kila wakati, huku vigogo wakipewa mafuta bure

3. Anasema Waziri Mwigulu anatafuta sifa serikalini bila kujali kuwa wananchi wanaumia sana kwa hizi tozo
 
Mbowe akijikita kwenye hii agenda ya tozo atapata uungwaji mkono sana maana ni wengi wanateseka.....nadhani hana Washauri wazuri.
 
Huyu mzee ukimuona na midevu yake na ahadi za wali kuku kwenye kampeni, unaweza kusema ni kichaa. Ila ana akili kuliko Rais na Mawaziri wake wote.
Huyu dingi akiwa anahojiwa na Medias anakuaga anaongea points Sana.Ila Sasa akiwa anaongea jukwaani kwny kampeni hua anaongea ujinga ujinga tu,mtu timamu kichwani hawezi mchukulia serious.

Siku hizi namuona Kama Ni project maalum anakua activated kipindi Cha uchaguzi.
 
Hivi wakuu wa wilaya wana kazi gani hasa ikiwa mameya wapo? maviieite ya wakuu wa wilaya zaidi ya 200 mafuta yake kwa siku tu unajenga vituo vya afya 255 na madarasa 500, sasa tozo za nini ikiwa pesa za serikali zinakuwa misused kwa matumizi ya anasa.....
 
Basi walioko around basi waungane maana hii hoja ya tozo ina mashiko...kina Zito, Mbatia, Lipumba n.k, huu ndio muda wa kuonesha mshikamano na hoja tayari ipo mezani na ina mashiko.
Hiyo ni kazi ya activists, kudeal na event. Hizi events huwa haziishi, huja kila baada ya muda. Sasa chama hakiwezi kukomaa na events.
Chama kinaangalia vitu vikubwa kama vile sera, katiba, mipango ya maendeleo etc
 
Back
Top Bottom