myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 147,648
- 656,484
Aisee...ligi ya kikapu Bongo.Mcheza mpira wa kikapu wa Kitanzania, Hasheem Thabeet yupo zake hapa Dar, akicheza ligi ya kikapu ya mkoa maarufu kama Ligi ya RBA.
Inaelezwa Hasheem yupo zake ila sio mtu wa kujichanganya sana, kama sio mtu wa Kikapu huwezi kujua kama yupo Bongo.
Natamani niendelee kuandika ila niishie hapa, tuna ya kujifunza mengi toka kwa Hasheem