Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,886
- 6,883
Tulijadili sana kuhusu huyu kijana siku za nyuma huko na kujaribu kumshauri ajitahidi kujituma, sasa hali halisi katika timu yake ni kuwa bench kila mechi maana namba yake imechukuliwa na yoso mmoja ambaye ameibukia mpya katika liki mwaka huu toka chuoni, nafasi yake center huwa ya wachezaji wawili wa kupokezana, waliopo wanatosha, Hasheem anaonekana kubaki meza ya ufundi akisubiria kipindi cha dirisha dogo kuuzwa kama kutakuwa na timu itakayokuwa tayari kumpokea. Anatakiwa aondokane na mfumo wa uchezaji wa ridhaa, huko ni kujituma kwa kwenda mbele tu.