Wana JF salaam, naomba nipate mchango wa mawazo juu ya hili. Umeme wa Tanesco sasa umekuwa ni umeme usiyo salama tena kufuatilia hasara mbalimbali tunazozipata kutokana na kupungua au kuongezeka kwa nguvu ya nishati hii.
Hasara hizi ni kama kuunguliwa na tv set, home theater, fridge na vitu vingene vinavyotumia nishati hii.
Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi mimi kama mtumiaji ninapopata hasara ya namna hii ninalindwa na kifungu kipi cha cheria ya mashirika yanayotoa huduma kwa jamii , nauliza hivi kwa faida ya watanzania wenzangu.
Home apliences ni vitu vya gharama na ni vyema kufahamu tunafanyaje endapo haya yanatokea.
Hasara hizi ni kama kuunguliwa na tv set, home theater, fridge na vitu vingene vinavyotumia nishati hii.
Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi mimi kama mtumiaji ninapopata hasara ya namna hii ninalindwa na kifungu kipi cha cheria ya mashirika yanayotoa huduma kwa jamii , nauliza hivi kwa faida ya watanzania wenzangu.
Home apliences ni vitu vya gharama na ni vyema kufahamu tunafanyaje endapo haya yanatokea.