LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,106
- 27,087
- Thread starter
- #21
I say!!!Likud
Umeongea kweli tupu.
Kuna msela alikuwa mfanyakazi wa Benk, mke wake alimfanyia ushirikina ili azidi kupendwa.
Cha ajabu jamaa hakuwa anakwenda hata kazini ili tu awe na mkewe.
Hatma yake alifukuzwa kazi na sasa yuko jobless.
Sent using Jamii Forums mobile app