Hasara za Kukurupuka! Jinsi ya kudownload nyimbo bure Wasafidotcom

website ile inazaidi ya loop holes!ni more of walikua anafanya mazoezi baada ya some tutorials,!tukienda kwa stall hii ya kupongezana kinafiki ilhali mtu hastaili pongezi, kamwe hatutafika na tutazidi kuwa nyuma kitekinolojia milele. usichoelewa hapa ni kwamba Setup na wasafi wanafanya serious project kitoto!,in real word,hakuna mtu anajali kama unajifunza au ni professional, ukicreate poor stuffs,your then doomed no matter who you are! and the point is unaatarisha usalama wa wataje wako, nisinge sumbuka na a personal website,what for!
This is for their benefit,unafikiri kwa mapungufu hayo watapata faida?wewe naweza jifanya mzalendo ila kwa wengine ndo itakua fursa kwao kuteleza na ganda la ndizi!


Yes ni kweli mkuu tunakubali umefanya kwa faida yao wenyewe Wasafi na faida ya watumiaji wengine pamoja na wasanii wengine wote watakao weka kazi zao huko its okay na ni vizuri pia na tunakushukuru sana, but at least ungejaribu kuwasiliana na wenyewe Wasafi moja kwa moja kuliko ku exposed hapa nahisi ingekuwa bora zaidi hata pengine nahisi jamaa angekushukuru sana kuliko ku expose hivi halafu na mnapeana link kabisa jinsi ya kuiba nyimbo ambazo ni kazi za wasani wengine ambao wamezihangaikia na hata hawana makosa, this will look like an act of Conspiracy and may be pia ni kuharibu kazi ya mtu ambae huwezi jua ni jinsi gani amehangaika mpaka hata pale unapoina vile imesimama, tuwe basi hata na ule uzalendo tupende na kujenga vya kwetu na pia na kuvilinda, Ok tunajua you are good IT expert na narudia tena tunakushkuru kwa kutuzindua wengi kuhusu hili, but kama ungetumia njia nyengine kuwasilisha hayo mapungufu ya hiyo site ya Wasafi ingekua poa zaidi
 
Yes ni kweli mkuu tunakubali umefanya kwa faida yao wenyewe Wasafi na faida ya watumiaji wengine pamoja na wasanii wengine wote watakao weka kazi zao huko its okay na ni vizuri pia na tunakushukuru sana, but at least ungejaribu kuwasiliana na wenyewe Wasafi moja kwa moja kuliko ku exposed hapa nahisi ingekuwa bora zaidi hata pengine nahisi jamaa angekushukuru sana kuliko ku expose hivi halafu na mnapeana link kabisa jinsi ya kuiba nyimbo ambazo ni kazi za wasani wengine ambao wamezihangaikia na hata hawana makosa, this will look like an act of Conspiracy and may be pia ni kuharibu kazi ya mtu ambae huwezi jua ni jinsi gani amehangaika mpaka hata pale unapoina vile imesimama, tuwe basi hata na ule uzalendo tupende na kujenga vya kwetu na pia na kuvilinda, Ok tunajua you are good IT expert na narudia tena tunakushkuru kwa kutuzindua wengi kuhusu hili, but kama ungetumia njia nyengine kuwasilisha hayo mapungufu ya hiyo site ya Wasafi ingekua poa zaidi
Naomba nikuulize kaswali, Wakati unasoma, matokea ya mtihani yalipokuwa yanatangazwa hadharani (haijalishi umepata sifuri au mia), ilikua inakuongezea munkari wakusoma zaidi kama imetokea umefeli au ilikua inakukatisha tamaa kuongeza bidii zaidi ili mtihani ujao usiaibike tena?
 
Naomba nikuulize kaswali, Wakati unasoma, matokea ya mtihani yalipokuwa yanatangazwa hadharani (haijalishi umepata sifuri au mia), ilikua inakuongezea munkari wakusoma zaidi kama imetokea umefeli au ilikua inakukatisha tamaa kuongeza bidii zaidi ili mtihani ujao usiaibike tena?

Mkuu unajua mim usinielewe vibaya, mimi na watu wengine tunakupongeza sana, issue tu pengine ungetumia njia nyengine ya ku address hii issue tungekuwa tunakupongeza zaidi, all in all its okay may be wahusika saivi taarifa zimeshawafikia wanazifanyia kazi, lengo ni kujenga sio kubomoa au sio
 
asee mkuu naona umeonhea kitu ambacho nilikua najribu kuwaambia watu siku nyingi. Mtu unasoma tutorials unakuja kusuka kitu kinacho tumia transactions za pesa. Hujasoma theory wala testing hakuna wala security consideration hamna. Watu wanataka wla za fasta. Wateja wanataka kuwahishiwa kazi mwiahoni wote mna lose. Sasa hata watukununua vitu online wanasita . Ma programmer wabovu wanatuharibia soko pumbav sana
 
Mkuu unajua mim usinielewe vibaya, mimi na watu wengine tunakupongeza sana, issue tu pengine ungetumia njia nyengine ya ku address hii issue tungekuwa tunakupongeza zaidi, all in all its okay may be wahusika saivi taarifa zimeshawafikia wanazifanyia kazi, lengo ni kujenga sio kubomoa au sio
Wala sijakuelewa vibaya, point is, this is how it works kote duniani, inshu za security sio mambo ya siri, inawezekana ningewapa tariffa kwa siri kunawatu wenye approach kama ya setup wasingejifunza kitu na si ajabu wangeendelea na practise kama hii tena labda bila atakujua kama wanafanya hovyo, ndo maana kwenye bandiko juu kabisa nikasema kabisa for educational purpose, ndio jinsi tunavyo jifunza na kukomaa kwenye field hii through mistake za wengine, trust me kuna watu wamejifunza kitu through this.
 
Wala sijakuelewa vibaya, point is, this is how it works kote duniani, inshu za security sio mambo ya siri, inawezekana ningewapa tariffa kwa siri kunawatu wenye approach kama ya setup wasingejifunza kitu na si ajabu wangeendelea na practise kama hii tena labda bila atakujua kama wanafanya hovyo, ndo maana kwenye bandiko juu kabisa nikasema kabisa for educational purpose, ndio jinsi tunavyo jifunza na kukomaa kwenye field hii through mistake za wengine, trust me kuna watu wamejifunza kitu through this.

Yes ni kweli mkuu mim ni mwenyewe ni mmoja wapo, pamoja sana
 
**For Educational Purpose**
**Wont be accountable for any problems that may occur**

No offense!kwanini watanzania tunapenda kukurupuka? ni kwasababu ya ujinga au u-muchknow? kulikua na haja gani ya Setup(kampuni iliyonyuma ya matengenezo ya wasafidotcom) ku release uncompleted project? tena ukizingatia ni ecommerce website eti! Na kwanini Wasafi waruhusu uncompleted project kuanza kufanya kazi?au kampuni inatechie guys wanaojua kuposti kwenye social medias tu?

Anyway,back to the point , ukiaccess url hii https://wasafi.objects-us-west-1.dream.io/ ,unaweza download nyimbo yoyote inayouzwa, bure,, nyimbo zinazouzwa zipo kwenye uploads folder. mfano wa complete link ni https://wasafi.objects-us-west-1.dream.io/uploads/1wvmYJBTl8k0es4upFVclQqZOZosNR1488205188.mp3/ (actual sijui hii ni nyimbo gani,maybe "happy bithday" ) au
https://wasafi.objects-us-west-1.dream.io/uploads/Queen-Darleen-Ft-Rayvanny_Kijuso.mp3/ (futa "/" baada ya .mp3 kwenye links hizo ili zifanye kazi )

By the way, point ni kwamba ,kumiliki ecommerce website,sio sawa na kumiliki ki social media page cha kupost na kulike vipicha! Kuachia project ya ovyo kama hii yenye hundreds of vulnerabilities Unarisk confidentiality ya watu, ndo mwanzo wa identity theft ,watu wataibiwa credit cards zao kiulaini wakidhani wapo secure!
If mimi tu mwenye kauelewa kadogo na web tech nimeweza kugundua madhaifu kwakuangalia tu,real hackers si ndo wataisambaratisha kwa sekunde tu!

Setup na kampuni nyingine aina yake, mnapaswa kufahamu kuwa hamtasurvive kwenye hii cruel techie world kwa ufanyaji huo wa kazi! Kuweni serious na kazi zenu,kama inshu ni pesa, ni bora kumcharge mteja pesa kubwa kwa final product ya uhakika kuliko kucharge pesa ndogo kwa low quality product.
Mbna kwangu inakataaa natumia simi
 
**For Educational Purpose**
**Wont be accountable for any problems that may occur**

No offense!kwanini watanzania tunapenda kukurupuka? ni kwasababu ya ujinga au u-muchknow? kulikua na haja gani ya Setup(kampuni iliyonyuma ya matengenezo ya wasafidotcom) ku release uncompleted project? tena ukizingatia ni ecommerce website eti! Na kwanini Wasafi waruhusu uncompleted project kuanza kufanya kazi?au kampuni inatechie guys wanaojua kuposti kwenye social medias tu?

Anyway,back to the point , ukiaccess url hii https://wasafi.objects-us-west-1.dream.io/ ,unaweza download nyimbo yoyote inayouzwa, bure,, nyimbo zinazouzwa zipo kwenye uploads folder. mfano wa complete link ni https://wasafi.objects-us-west-1.dream.io/uploads/1wvmYJBTl8k0es4upFVclQqZOZosNR1488205188.mp3/ (actual sijui hii ni nyimbo gani,maybe "happy bithday" ) au
https://wasafi.objects-us-west-1.dream.io/uploads/Queen-Darleen-Ft-Rayvanny_Kijuso.mp3/ (futa "/" baada ya .mp3 kwenye links hizo ili zifanye kazi )

By the way, point ni kwamba ,kumiliki ecommerce website,sio sawa na kumiliki ki social media page cha kupost na kulike vipicha! Kuachia project ya ovyo kama hii yenye hundreds of vulnerabilities Unarisk confidentiality ya watu, ndo mwanzo wa identity theft ,watu wataibiwa credit cards zao kiulaini wakidhani wapo secure!
If mimi tu mwenye kauelewa kadogo na web tech nimeweza kugundua madhaifu kwakuangalia tu,real hackers si ndo wataisambaratisha kwa sekunde tu!

Setup na kampuni nyingine aina yake, mnapaswa kufahamu kuwa hamtasurvive kwenye hii cruel techie world kwa ufanyaji huo wa kazi! Kuweni serious na kazi zenu,kama inshu ni pesa, ni bora kumcharge mteja pesa kubwa kwa final product ya uhakika kuliko kucharge pesa ndogo kwa low quality product.
Mbna kwagu inakataaa natumia simu
 
**For Educational Purpose**
**Wont be accountable for any problems that may occur**

No offense!kwanini watanzania tunapenda kukurupuka? ni kwasababu ya ujinga au u-muchknow? kulikua na haja gani ya Setup(kampuni iliyonyuma ya matengenezo ya wasafidotcom) ku release uncompleted project? tena ukizingatia ni ecommerce website eti! Na kwanini Wasafi waruhusu uncompleted project kuanza kufanya kazi?au kampuni inatechie guys wanaojua kuposti kwenye social medias tu?

Anyway,back to the point , ukiaccess url hii https://wasafi.objects-us-west-1.dream.io/ ,unaweza download nyimbo yoyote inayouzwa, bure,, nyimbo zinazouzwa zipo kwenye uploads folder. mfano wa complete link ni https://wasafi.objects-us-west-1.dream.io/uploads/1wvmYJBTl8k0es4upFVclQqZOZosNR1488205188.mp3/ (actual sijui hii ni nyimbo gani,maybe "happy bithday" ) au
https://wasafi.objects-us-west-1.dream.io/uploads/Queen-Darleen-Ft-Rayvanny_Kijuso.mp3/ (futa "/" baada ya .mp3 kwenye links hizo ili zifanye kazi )

By the way, point ni kwamba ,kumiliki ecommerce website,sio sawa na kumiliki ki social media page cha kupost na kulike vipicha! Kuachia project ya ovyo kama hii yenye hundreds of vulnerabilities Unarisk confidentiality ya watu, ndo mwanzo wa identity theft ,watu wataibiwa credit cards zao kiulaini wakidhani wapo secure!
If mimi tu mwenye kauelewa kadogo na web tech nimeweza kugundua madhaifu kwakuangalia tu,real hackers si ndo wataisambaratisha kwa sekunde tu!

Setup na kampuni nyingine aina yake, mnapaswa kufahamu kuwa hamtasurvive kwenye hii cruel techie world kwa ufanyaji huo wa kazi! Kuweni serious na kazi zenu,kama inshu ni pesa, ni bora kumcharge mteja pesa kubwa kwa final product ya uhakika kuliko kucharge pesa ndogo kwa low quality product.
44d5df8151134039744e794823d160ab.jpg
kwangu inaandika hivi
 
Duu kweli watanzania tuna matatizo....sawa wewe umechukua muda wako kufundisha watu jinsi ya kuwapiga wasafi...
kumbe ndio nyinyi mnao rudisha nyuma maendeleo ya wabongo/wasanii...
kwa nini usiwafundishe watu kwenye site nyingine za nje ya nchi..

umenisikitisha mdau..
Kwanza kwa kundua hilo ilibidi apige pesa za maana kawaokoa sana...
Angeweza kuwaibia wengi walioweka taarifa zao kwa kuelekeza malipo kwake.

Alivyovitoa ni vichache sana na havina hatari kubwa kuna vingi kavificha kwa mapenzi yake mema kwa wasanii wetu hasa wamiliki..

Na kwa ubishi wetu angesema bila ushahidi tungempinga na kumwona mwongo na kupotezewa kisha wamiliki wakaendelea kupata hasara.

Kama una mapenzi mema kwa wasanii wetu unaweza kusubiri hadi tatizo lirekebishwe ndipo ununue badala ya kuteleza kupakua bure ama kununua wakati hakuna usalama.
 
Kwa wale wenye matatizo yakuelewa, naombeni ni clarify mambo kadhaa.

Kwanza naomba muelewe utofauti wa kufundisha na kuonyesha,dhumuni langu si kufundisha watu kudownload nyimbo bure bali kuwaonesha wahusika kuwa tovuti yao inamapungufu, moja wapo nikuwa watu wanaweza kudownload nyimbo bure.

Si dhumuni baya, nimoja kati ya njia zinazotumika kujenga kwenye hii field yetu.

Silipwi kufanya hivi,ijapokuwa kuna mtu amelipwa kuhakikisha glitches kama hizi hazitokei, ila still zimetokea maana yake amekula pesa ya bure.

Nimetumia muda wangu ambao labda ningekua nafanya mambo yangu mengine ya muhimu, kwa maana nyingine nimeonesha uzalendo kwa kuonesha mapungufu hayo kwa namna moja ama nyingine, si kwa mwenye tovuti tu ,bali kwa watumiaje wake ambapo pengine hawana kabisa hujuzi wa mambo haya.

Ningeweza pia kukaa kimya na kuendelea kuteleza na washikaji wangu ambao ni zaidi ya buku, au hata kugain administration privileges na kujinufaisha na mambo mengine, mnadhani ningekua na jenga au nabomoa? au ndo ungekua uzalendo mnaouongelea?
Wengi tunafikra za husda ,chuki, ghilba na wivu hivyo hatuwazi nje ya hayo.
Wewe una moyo mwema mwingine angepiga pesa ya maana sana huku wasanii wakigombana na wamiliki na wanunuaji wakilizwa pia.

Hongera mkuu kwa moyo huo
 
Mtoa mada unalolisema ni sahihi kabisa, Lakini kama ushauri ukiwa kama na utaalamu huo wa kung'amua hayo mapungufu usingeyaweka hapa japo unge communicate nao wakajua kinachoendelea na mapungufu yao kama sehemu ya kuunga juhudi zao nzuri. hata mimi nimeona its possible and very possible. Poor their efforts!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom