Harusi yangu ilikuwa ya kawaida sana Kitche Party tuliifanya nyumbani

Kitchen Party tuliifanya nyumbani. Tulipika wenyewe tena nilipika chapati mpaka saa 10 ndiyo nikaenda saloon. Chakula kilikuwa pilau, chapati na mchuzi wa kuku, ndizi nyama na kachumbari. Vyote tulipika nyumbani na binamu walihudumia.

Watu walikuwa kama 50 hivi majirani na marafiki. Tulipiga mziki mpaka watu walipopungua kabisa tulibaki ndugu tukahamishia party ndani.

Sherehe ya nyumbani haina gharama kubwa. Tulikodi viti watu walikaa nje na hakukua na mvua.

Send Off ndiyoilifanyika kwenye hall, tiki kodi na catering service.
Baada ya kuishi pamoja miaka mingapi?

Kwetu, kiutamaduni kabisa, bi harusi hagusi jiko, wiki au zaidi kabla hajaolewa na wiki au zaidi baada ya ndoa. Na kama hajui vizuri kupika basi somo atakuwa nae karibu mpaka aelewe kupika vyakula vyote muhimu.

Ndiyo maana wanawake wa pwani wengi ni mabingwa wa mapishi.

Nimeukumbuka tu utamaduni wetu unaopotea.
 
Baada ya kuishi pamoja miaka mingapi?

Kwetu, kiutamaduni kabisa, bi harusi hagusi jiko, wiki au zaidi kabla hajaolewa na wiki au zaidi baada ya ndoa. Na kama hajui vizuri kupika basi somo atakuwa nae karibu mpaka aelewe kupika vyakula vyote muhimu.

Ndiyo maana wanawake wa pwani wengi ni mabingwa wa mapishi.

Nimeukumbuka tu utamaduni wetu unaopotea.
Dakika za mwisho tuliambiwa mpishi wa chapati ana udhuru. ilinibidi nipike ili kuondoa jahazi katika sherehe yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom