Ila ukweli huyu hazeeki. Bado anapigiwa miluzibila shaka una mtoto anayezidi miaka 22
Ila ukweli huyu hazeeki. Bado anapigiwa miluzibila shaka una mtoto anayezidi miaka 22
Baada ya kuishi pamoja miaka mingapi?Kitchen Party tuliifanya nyumbani. Tulipika wenyewe tena nilipika chapati mpaka saa 10 ndiyo nikaenda saloon. Chakula kilikuwa pilau, chapati na mchuzi wa kuku, ndizi nyama na kachumbari. Vyote tulipika nyumbani na binamu walihudumia.
Watu walikuwa kama 50 hivi majirani na marafiki. Tulipiga mziki mpaka watu walipopungua kabisa tulibaki ndugu tukahamishia party ndani.
Sherehe ya nyumbani haina gharama kubwa. Tulikodi viti watu walikaa nje na hakukua na mvua.
Send Off ndiyoilifanyika kwenye hall, tiki kodi na catering service.
Bila shaka ana mjukuu sasaIla ukweli huyu hazeeki. Bado anapigiwa miluzi
sijacheka sherehe,ila mwandishi sijui alikuwa na lengo gani?
Sio bila shaka ila naona bado yumo kwenye 10 boraBila shaka ana mjukuu sasa
Dakika za mwisho tuliambiwa mpishi wa chapati ana udhuru. ilinibidi nipike ili kuondoa jahazi katika sherehe yanguBaada ya kuishi pamoja miaka mingapi?
Kwetu, kiutamaduni kabisa, bi harusi hagusi jiko, wiki au zaidi kabla hajaolewa na wiki au zaidi baada ya ndoa. Na kama hajui vizuri kupika basi somo atakuwa nae karibu mpaka aelewe kupika vyakula vyote muhimu.
Ndiyo maana wanawake wa pwani wengi ni mabingwa wa mapishi.
Nimeukumbuka tu utamaduni wetu unaopotea.
Amin Babu, na wewe pia Heri ya Mwaka Mpya.Nipo leo, jana na milele...
Heri ya mwaka mpya mdogo wangu...