Much respect to JF ARUSHA WING also.
Mwacheni afaidi maana tatizo kesho asubuhi ndugu na jamaa wote watajua kuwa YNNAH kafanya mapenzi, it's no longer a secret kuwa dada yako anafanya ngono. Halafu unaenda kumsalimia mshkaji anayekulia dada yako
Hongera sana YNNAH,ndoa yetu ikapate kutawaliwa na UPENDO,FURAHA,AMANI. Ukarimu uwe utamaduni wenu,
Wote tuseme Amen!
Mimi na my wife wangu marejesho tunapohudhuria sherehe kama hizi, huwa tunakumbuka siku tulipofanya yetu! Ndio maana tunapenda kuudhuria sana!
Ni kweli kabisa mume wangu mpenzi Filipo .Shughuli kama hizi zinatufanya wapya kila leo. MUNGU awatunze maharusi nao wafurahie ndoa yao kama sisi. Be blessed
Nimecheka sana! Kumbe ndio jina la chama chenyewe!!