Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Jk akiwa katika picha ya pamoja na Katibu mkuu mstaafu wa umoja wa Afrika Dr.Salim Ahmed Salim(kushoto) Pamoja na Mkewe Amne Salim(kulia) na Dr.Ali Salim Pamoja na mkewe Karly Salim wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika Ijumaa katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijinji Dar
Maashaalah..mkewe Salim anaonekana kijana mno...
duh!
Jk naye naona tangu Cisco aondeke anachemsha kwenye pamba sijui vipi tena..jamani watu wa Ikulu mbona mnaboa?
safi sana..watu wanatakiwa kuoa kabla mwezi wa toba haujaingia
btw
akiwa na Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Shariff Hamad pamoja na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Abdulrahman Kinana wakati wa sherehe ya harusi ya Dr. Ali Salim Ahmed Salim mtoto wa Katibu mkuu wa mstaafu wa Umoja wa Afrika Dr.Salim Ahmed Salim iliyofanyika Ijumaa katika uklumbi wa Diamond Jubilee Hall jijini Dar
Last edited: