Mr Kipago
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 597
- 622
Wazungu wapo rational sana naipenda hii style ya kumchukua mwanamke unaishi nae mnazaa mtoto mmoja wawili huku mnaangaliana mkiwa mmematch vizuri mnaamua sasa kufunga ndoa na harusi juu
Sasa Tanzania fanya hivyo uone utakavyoulizwa sasa lini tunafunga ndoa?? huko kwa wazazi wake ndiyo usiombe
Hivi hawa hawa wazungu si ndo wametuletea dini ambayo wao wengi hawaifati sio messi tu ni wazungu wengi na ndiyo kawaida yao
Sasa Tanzania fanya hivyo uone utakavyoulizwa sasa lini tunafunga ndoa?? huko kwa wazazi wake ndiyo usiombe
Hivi hawa hawa wazungu si ndo wametuletea dini ambayo wao wengi hawaifati sio messi tu ni wazungu wengi na ndiyo kawaida yao