Shelus Jr
JF-Expert Member
- Jun 2, 2016
- 270
- 166
maneno yako yamenigusa sana moyo wangu! tuzid kumuombea na Mungu ndio kila kitu AMEnPole sana.
Hilo ni pigo kubwa sana kwako ila napenda kukupa tumaini ambalo lipo.
Nikisema nitakuadopt uwe mdogo wangu ni uongo, sitofikia nafasi ya mdogo wako na wazazi wako. Nikisema uolewe ama.una mume sawa lkn hata cover nafasi yao.
Mtu pekee atakaye kufariji ww ni Mungu peke yake. Mwite Yesu akae ndani yako. Atakuwa faraja ya ukweli na utimilifu wa kweli kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole. Siku zote faraja ya kweli ni Mungu peke yake. Sisi binadamu tu wafariji wataabishaji manake hata nikimuita mdogo wangu na Niki muadopt kabisa Bado nitazidi kumtaabisha as siwez kufika pale alipokuwa na Dada wa kuzaliwamaneno yako yamenigusa sana moyo wangu! tuzid kumuombea na Mungu ndio kila kitu AMEn
Ni habari iliyousonenesha moyo wangu na kunifanya nishindwe kuyazuia machozi yangu....
Nimelia peke yangu nimeona Leo ni washirikishe nanyi huzuni hii pengine ntapata faraja...
Nakumbuka ilikuwa mwezi july tarehe 26 2017 tulikuwa tusafiri Mimi baba mama na wadogo zangu watatu kwenda kwenye harusi ya mdogo wangu iliyokuwa ifanyike mwanza tarehe 29 July 2017.
Wao walikuwa wanatokea songea nami nilikuwa natokea dar..hiyo tarh 26 waliondoka wakiwa saba wakitumia usafiri wa Noah. Baba,mama,wadogo zangu watatu kati yao mmoja akiwa ndiye bibi harusi mtarajiwa, mjomba na mama mdogo.
Sikujua kama ile Noah ingechukua uhai wa ndugu zangu wote kwa mkupuo...
Ile Noah iligongana na Lori ikapoteza ndugu zangu saba hapo hapo .
Nimelia sana kila nikikumbuka nalia nimebaki peke yangu.
Nilihisi Mungu hayupo. Jamani tulizaliwa wanne lkn ghafla nimebaki peke yangu tena bila wazazi.
Pole sanaaNi habari iliyousonenesha moyo wangu na kunifanya nishindwe kuyazuia machozi yangu....
Nimelia peke yangu nimeona Leo ni washirikishe nanyi huzuni hii pengine ntapata faraja...
Nakumbuka ilikuwa mwezi july tarehe 26 2017 tulikuwa tusafiri Mimi baba mama na wadogo zangu watatu kwenda kwenye harusi ya mdogo wangu iliyokuwa ifanyike mwanza tarehe 29 July 2017.
Wao walikuwa wanatokea songea nami nilikuwa natokea dar..hiyo tarh 26 waliondoka wakiwa saba wakitumia usafiri wa Noah. Baba,mama,wadogo zangu watatu kati yao mmoja akiwa ndiye bibi harusi mtarajiwa, mjomba na mama mdogo.
Sikujua kama ile Noah ingechukua uhai wa ndugu zangu wote kwa mkupuo...
Ile Noah iligongana na Lori ikapoteza ndugu zangu saba hapo hapo .
Nimelia sana kila nikikumbuka nalia nimebaki peke yangu.
Nilihisi Mungu hayupo. Jamani tulizaliwa wanne lkn ghafla nimebaki peke yangu tena bila wazazi.
Pole sana mtegemee Mungu tuNi habari iliyousonenesha moyo wangu na kunifanya nishindwe kuyazuia machozi yangu....
Nimelia peke yangu nimeona Leo ni washirikishe nanyi huzuni hii pengine ntapata faraja...
Nakumbuka ilikuwa mwezi july tarehe 26 2017 tulikuwa tusafiri Mimi baba mama na wadogo zangu watatu kwenda kwenye harusi ya mdogo wangu iliyokuwa ifanyike mwanza tarehe 29 July 2017.
Wao walikuwa wanatokea songea nami nilikuwa natokea dar..hiyo tarh 26 waliondoka wakiwa saba wakitumia usafiri wa Noah. Baba,mama,wadogo zangu watatu kati yao mmoja akiwa ndiye bibi harusi mtarajiwa, mjomba na mama mdogo.
Sikujua kama ile Noah ingechukua uhai wa ndugu zangu wote kwa mkupuo...
Ile Noah iligongana na Lori ikapoteza ndugu zangu saba hapo hapo .
Nimelia sana kila nikikumbuka nalia nimebaki peke yangu.
Nilihisi Mungu hayupo. Jamani tulizaliwa wanne lkn ghafla nimebaki peke yangu tena bila wazazi.