Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,247
Harusi ya kukata kwa shoka inafanyika leo Mwanza katika uwanja wa CCM kirumba.Waalikwa zaidi ya 2500 ama zaidi wanataraji kuudhulia,kwaufupu inasemekana itakuwa na-wageni kutoka KenyaUganda,DRC nk. Nami ni mmoja wa wageni waalikwa na nnapotuma porst hii niko kwenye gari 'costa' iliyobebeba familia ya bibi harusi tunaelekea CCM Kirumba kwenye eneo la tukio.Anayeoa ni bwana MAHAMOUD IBRAHIM CHACHA,huyu ni kijana wa tajiri maalufu hapa jijini anayejishughulisha na uvuvi na usafirishaji wa abiria ktk ziwa victoria yaani anamiliki meli kadhaa,anajulikana kwa jina la KITANA CHACHA.Biharusi ni binti wa mtaani anatwa REHEMA YUSUPH SONGORA.Hii ndo ratiba ya sherehe :.<br />
08.00pm walikwa kuingia ukumbin<br />
08.20pm wazazi wa bwana harusi kuigia ukumbin<br />
08.40pm wazazi wa b'harusi kuingia ukumbin<br />
08.45pm Mwenyekiti wa kamati kufungua sherehe<br />
08.55pm Burudan 'RITUNGU' Tarime Jazz Band<br />
09.00pm Maharusi kukata keki<br />
09.10pm Burudan 'Dogoli' VIJANA NGOMA DOGOLI<br />
09.20pm Kufungua Champagne<br />
09.40pm Burudan'show maalum'<br />
09.50pm Utambulisho<br />
10.00pm Burudan Tarime Jazz Band<br />
10.10pm Nasaha<br />
10.20pm Burudan AKUDO BAND<br />
10.40pm Chakula<br />
11.00pm Burudan 'Kihaya' TWEIJUNA NGOMA ASILI<br />
11.30pm Zawadi<br />
11.40pm Burudan TRI IN ONE<br />
11.45pm Kufungua Muziki<br />
12.00pm Muziki 'wote'<br />
12.15pm Maharusi kuondoka<br />
12.30pm Burudani (kwa vikundi na Band zote kuendelea kutoa burudan hadi juma pili saa 08.00am.INGEPENDEZA SANA KAMA NGETUMA POST HII IKIWA NA PICHA lakin Sitaweza na NAOMBA mniwie radha kwa kuto-watumia picha coz natumia simu ambayo uwezo wake ni mdogo ila nitaendelea kuwalete habari kadri ya matukio yanavyotokea.KAMA KUNA MWANA JF YUKO KTK sherehe hii na ananyenzo za kuweza kutuma picha plz nisaidie kutuma picha.
08.00pm walikwa kuingia ukumbin<br />
08.20pm wazazi wa bwana harusi kuigia ukumbin<br />
08.40pm wazazi wa b'harusi kuingia ukumbin<br />
08.45pm Mwenyekiti wa kamati kufungua sherehe<br />
08.55pm Burudan 'RITUNGU' Tarime Jazz Band<br />
09.00pm Maharusi kukata keki<br />
09.10pm Burudan 'Dogoli' VIJANA NGOMA DOGOLI<br />
09.20pm Kufungua Champagne<br />
09.40pm Burudan'show maalum'<br />
09.50pm Utambulisho<br />
10.00pm Burudan Tarime Jazz Band<br />
10.10pm Nasaha<br />
10.20pm Burudan AKUDO BAND<br />
10.40pm Chakula<br />
11.00pm Burudan 'Kihaya' TWEIJUNA NGOMA ASILI<br />
11.30pm Zawadi<br />
11.40pm Burudan TRI IN ONE<br />
11.45pm Kufungua Muziki<br />
12.00pm Muziki 'wote'<br />
12.15pm Maharusi kuondoka<br />
12.30pm Burudani (kwa vikundi na Band zote kuendelea kutoa burudan hadi juma pili saa 08.00am.INGEPENDEZA SANA KAMA NGETUMA POST HII IKIWA NA PICHA lakin Sitaweza na NAOMBA mniwie radha kwa kuto-watumia picha coz natumia simu ambayo uwezo wake ni mdogo ila nitaendelea kuwalete habari kadri ya matukio yanavyotokea.KAMA KUNA MWANA JF YUKO KTK sherehe hii na ananyenzo za kuweza kutuma picha plz nisaidie kutuma picha.