BUDODI NDAMBE
Member
- Apr 1, 2012
- 23
- 0
ilikuwa bajeti ya harusi tu bt yy mwenyewe alisema hakutumia zote
Ila bongo kwa mtu maarufu kama yeye ni kidogo sana. Kuna Dean of student UDSM-Business school aliifanya ya mwanaye mwaka jana iligharimu zaidi ya milioni 100 na bado michango mingine waliikataa
Jamani Mbona tunapenda kuchunguza maisha ya watu ooops Tanzania Bwana mmh
Mie hapa nahangaika siku moja niwe kama Oprah wengine mnaumiza vichwa na suti ya Jerry Muro
Poleni
Harusi na nyumba ni vitu viwili tofauti,hela ya harusi inavyopatikana ni tofauti na hela ya nyumba.Kwa position aliyopo Jerry Murro(maarufu) kufunga harusi ya gharama ni jambo la kawaida.anajuana na watu wengi wakubwa ambayo tunaweza sema ndio wanamuweka mjini sasa wewe ulitaka awaalike kwenye harusi ya mil 20 eti kwa sabab hana nyumba nzuri?au kwa sabab anakaa kwenye nyumba ya kawaida? Kila mtu ana malengo na kama alivyosema mwenyewe alipanga hii kitu for two years so kama amefanikiwa kufanya yake na wewe fanya yako.unajua ana plans gani kuhusu nyumba au gari?kesho akisema ana nyumba ya mil 600 utakuja tena hapa JF na kuandika kingine, kila mtu afight kivyake yeye kama kaiba na wew kaibe ufunge harusi yako ya mil 100 wakikudaka imekula kwako...thats all!