mndwadage
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 344
- 67
mbona million 62 kwa harusi ni pesa kidogo sana,wabongo sijui vip! kila kitu ni kulalamika ni kama vile hizo pesa mlichanga,amjui kama harusi ni kitu muhimu sana na zilikuwa toka zamani,kama uwezo unaruhusu acha watumie kama kwako auwezi tulia tu
mkuu ni mawazo tu ni mtazamo tu usijenge chuki.!