Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
eeh!KAMA MZIMU!mbona unapotea sana?So burn u cheated on me?? Ninapingamizi jamani, na kwa nini tangazo halikutoka siku nyingi?
eeh!KAMA MZIMU!mbona unapotea sana?So burn u cheated on me?? Ninapingamizi jamani, na kwa nini tangazo halikutoka siku nyingi?
hata mimi kaka, majukumu tu ndio yameshika kasi. Ila pamoja Mkuunimekusoma mkuu, i missed you man
ulipotea sana kiongozi!VIPI?KUNANI?Nipeni moyo wapwa nyie si ndio mlinikataza maisha ya useja? Hapo sio mchina na MZIGUA orijino
eeh!KAMA MZIMU!mbona unapotea sana?
So burn u cheated on me?? Ninapingamizi jamani, na kwa nini tangazo halikutoka siku nyingi?
Umemsahau SIPO bana kwenye hizi salamuNi shule my love ina nibana ila naingiaga kama guest na nilisoma s/where unaona karibuni hongera. Msalimie Chrispin na ZD.
Mmmmmh! Burn sasa kama shemeji yuko hapa kama guest harusi itaingia doa kaka. Stop itmy babylove, cheat on you?that never gonna happen, kwanza tusiwape faida watu kwa kumwaga mtama kwenye kuku wengi, twende zetu chemba.
Umemsahau SIPO bana kwenye hizi salamu
Am doing fine baby. Nimeshiba pasipo kwenda lunch. Please dont go chemba na huyo bwana harusi mtarajiwa. Let me hold you baby. HahahahahaHi Sipo hw are u doing?
Am doing fine baby. Nimeshiba pasipo kwenda lunch. Please dont go chemba na huyo bwana harusi mtarajiwa. Let me hold you baby. Hahahahaha
Hivi eeh!! Ili nalo neno kweliwith all due respects brau, unampotosha shemeji yako..mimi nina nafasi ya kuoa wake wanne, shauri yenu ambao hamkulizingatia hili mlipochagua imani.
Ni shule my love ina nibana ila naingiaga kama guest na nilisoma s/where unaona karibuni hongera. Msalimie Chrispin na ZD.
Geoff kamilisha hapa kwa ufafanuzi tafadhali. Boksi ni nini?1-pole sana na shule.ANGALIZO:usichanganye shule na boksi,UTAFELI.
waulize ''watu wa ughaibuni''.kuna thread moja mdau alikiri MABOKS YAMEMSHINDA ANATAKA KUANZISHA CHAMAGeoff kamilisha hapa kwa ufafanuzi tafadhali. Boksi ni nini?
Kaka Nono upo Mkuu? Aisee i real missed you man.Sasa Nguli,
Hapa anaonekana kama anakuja, akiwa anakwenda anaonekana je?
1-pole sana na shule.ANGALIZO:usichanganye shule na boksi,UTAFELI.
2-hiyo red-ndio maana idadi ya guests imekuwa nyingi,kumbe na wewe unaiongeza
3-hiyo blue-ninaona?kwani mimi ni kipofu?nani amekudanganya mimi sioni?watu wabaya sana eeh!?
karibu!kazi njema.(ingawa umeliweka wazi mapema kweli)Asante kwa ushauri nilimaanisha unaoa, kwaherini huku bado siku mbichi naenda class. Nawatakia harusi njema.
Nilimpa deal ya nguo ya shemeji yenu huyo dizaina wenu Idarius kachemsha tena amenijulisha sasa hivi, sasa akina dada nipeni ushauri pahala pakupata pamba za wifi yenu kabla ya sato.