Niyonzima anadai hawezi kuweka wazi kama amesaini na klabu yoyote kwani mpaka sasa mkataba wake na Yanga bado haujamalizika.
Hata hivyo anadai bado hajaongeza mkataba na klabu hiyo.
Kwa sasa Haruna yupo likizo na anaomba apewe muda apumzike na familia mbali na kuhusishwa na mambo ya mitandaoni.
~Kirerenya~
Hata hivyo anadai bado hajaongeza mkataba na klabu hiyo.
Kwa sasa Haruna yupo likizo na anaomba apewe muda apumzike na familia mbali na kuhusishwa na mambo ya mitandaoni.
~Kirerenya~