Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,246
- 5,756
Kwa mujibu wa UFM radio ni kwamba aliyekuwa mchezaji wa simba na mkataba wake kumalizika msimu ulioisha, Haruna Niyonzima, raia wa Rwanda amesaini mkataba na club ya AS Vita ya Congo kwa dau la $40000.
Simba sijui wamefeli wapi kuachana na mchezaji muhimu kama Haruna Niyonzima.
Simba sijui wamefeli wapi kuachana na mchezaji muhimu kama Haruna Niyonzima.