Harufu ya ushuzi Inatokana na chakula unachokula au inakuaje?

Niache Nteseke

JF-Expert Member
Apr 29, 2020
1,955
2,166
Naenda moja kwa moja kwenye mada wakuu!

Hivi mtu akijamba na ile harufu ya Ushuzi inayotoka muda huo huwa inanuka sana, sasa hii inachangiwa na chakula mtu anachokula au inakuaje?

Je, kuna chakula mtu anaweza kula kikachangia harufu ya Ushuzi ikawa inanukia vizuri au harufu ikawa sio kali sana ikawa ya wastani kiasi?

Kwa kuwa kuna wataalamu wengi hapa jamvini nikasema niombe msaada wa kueleweshwa hili jambo wakuu kwa maana kila nikijiuliza spati jibu kabisa wakuu. Ahsanteni.

NAWASILISHA.
 
Hydrogen sulphide, Sulphur ni end product ya almost protein nyingi...ushuzi ni mchanganyiko wa gas nyingi but mainly hydrogen sulphide ndio inayonuka

Ooooh Owkay sasa hiyo hydrogen sulphide Inatokana na chakula gani ambacho tunaweza kukiepuka ili harufu mbaya iweze kupungua mkuu...?
 
Inategemea na ratio ya mboga mboga, matunda na maji kwenye msosi wako.
Kama msosi wako hauna kabisa mbogamboga, matunda na haunywi maji ya kutosha basi hapo ukitoa kitu cha yuuusuuuphhh hata we mwenyewe utajikataa

Ooooh Owkay kwa hiyo matunda, mboga mboga na maji mengi Vina said I a ku-balance harufu isinuke sana right...?
 
Back
Top Bottom