Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,856
- 371
Wakuu umefanyika utafiti Tanzania na inaonyesha kuwa harufu mbaya ya soksi chafu ni mtego bomba kabisa wa kunasia mbu. Mtego huo una uwezo mkubwa mara 4 zaidi ya mitego ya "kawaida". Hivyo basi ni wazi malaria haikubaliki kirahisi kabisa. Source VoA.