mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Maura W. Mwingira ni afisa ubalozi New York-AugustineMwingira mmojawapo wa mawaziri kwenye serikali ya awamu ya kwanza na mkuu wamkoa kwenye serikali ya awamu ya pili na rafiki mkubwa wa Benjamin Mkapa.
Mindi Kasiga ni afisa habari wizara ya mambo ya nchi zanje. Kasiga ni jina linalohusiana na Rahma Kharoos Kasiga ambaye wengi wamemjuaalipoibuka baada ya rais Jakaya Kikwete kuingia madarakani akituhumiwa kuwanyumba yake ndogo. Wapo wanaosema kuwa anahusiana na Anna Mkapa au wote wawilil.
Jacob Msekwa ni afisa ubalozi wa Tanzania nchini Sweden-Pius Msekwa ni makamu mwenyekiti wa CCM. Na kuna majina kama Erick Msekwa namarehemu Julius Msekwa. Msekwa wawili walio hai bado wanaishi Ulaya Erick akifanyakazi kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa.
Ali Karume baloziItalia- mtoto wa rais wa zamani Abeid Karume.
Radhia Msuya balozi Afrika Kusini- hatuna uhakika kamaMsuya huyu na Msuya waziri mkuu wa zamani wana uhusiano.
Joyce Kafanabo ubalozi wa Tanzania Marekani- kapt. PeterKafanabo alikuwa kigogo wa CCM aliyewahi kuwa mkuu wa mikoa mbali mbali nchini.