😂😂😂😂Hivi
😏😏😏Ni kweli, na wanawake wasionyoa kule chini wananukia vizuri zaidi.
Mimi mwanamke awe ananukia unyunyu wa maana huwa nadata,mana nami napenda kunukia...sio dem ananuka harufu ya moshi wa kuniKwa kweli wanawake hii kitu ngoja niwaambie zile harufu zenu ambazo huwa mnatoa kabla hamjajipulizia pafyumu huwa zinaleta hamasa kubwa sana ya mapenzi kuliko hayo mapafyumu ya gharama mnayojipulizia
Kwa kifupi nikikaa na demu ambaye hajajipulizia pafyumu kile kiharufu chake kinachotoka huwa kinanivutia sana yani kuliko nikikaa na demu anayenukia pafyumu.
Mpe msaada,atumie deodorant oldspice yenye label nyeusi,hiyo inakausha kwapaKuna rafiki yangu mmoja daah ana kikwapa balaa....huwa najiuliza kama abajijua maana huwenda hata mimi ninacho sijijui aisee
Kwenye hii mada ndio tutajua watu wanaowafaidi wenza wao, kwani ukiweza kutofautisha Kati ya harufu ya asili ya mwenza wako na Ile ya jasho lake, hapo ni mwanzo wa kula raha duniani.Naam,hata mimi najipenda wakati mwingine kujisikia nanukia kiasili...so sweeeeeeet indeed.
Hahahaaha aisee we jamaa umefaulu kunichekesha msibani....Hayaa.. unaweza kuta hata mumewe hakipendi ila anavumilia tu. Kama rafiki yako mtembelee ili kama kipo umwambia akishughulikie! Unaweza kushangaa umeokoa ndoa ya Watu na ukapata mibaraka tele.
Kwa mfano Asprin ni rafiki yangu lakini nilikuwa nakerwa na tabia yake ya kuimba kwa sauti akilewa, nikamchana siku moja akaacha
Kuna rafiki yangu mmoja daah ana kikwapa balaa....huwa najiuliza kama abajijua maana huwenda hata mimi ninacho sijijui aisee
Hivi wewe una degree ya sarcasmVibonge wanaongoza kwa harufu hizi pendwa za asili
Shukrani mkuu, tatizo kwa sasa tunaishi mbalimbali... Sijui kama tatizo bado lipo au la. Nitaanzaje kumwambia?Mpe msaada,atumie deodorant oldspice yenye label nyeusi,hiyo inakausha kwapa
Kuna harufu za baadhi ya pipo bora tu kutumia marashi mana ni shida.
Treatment yako ni kujipaka ndimu au limao kwenye kwapa anapoooga na pia kuogea sabuni zile za lemon, hii iambatane na kutumia deodorant ya far lemon. Tatizo linakwisha kabisaShukrani mkuu, tatizo kwa sasa tunaishi mbalimbali... Sijui kama tatizo bado lipo au la. Nitaanzaje kumwambia?
ShukraniTreatment yako ni kujipaka ndimu au limao kwenye kwapa anapoooga na pia kuogea sabuni zile za lemon, hii iambatane na kutumia deodorant ya far lemon. Tatizo linakwisha kabisa
Ila Kuna suala la nguo anazovaa inatakiwa aanze kuvaa nguo ambazo ni 100% cotton, nguo za polyester kwa sehemu yenye joto kama dsm, inaongeza tatizo. Pia, tatizo lingine, mwenye tatizo Hilo anatakiwa kunywa maji mengi wakati wote ili ku dilute jasho na hata urine yake.Shukrani
mkuu nadhani haya maelezo yako yatawasaidia wengine wenye tatizo hilo ila huyu wa kwangu sina mpango wa kuongea nae chochoteIla Kuna suala la nguo anazovaa inatakiwa aanze kuvaa nguo ambazo ni 100% cotton, nguo za polyester kwa sehemu yenye joto kama dsm, inaongeza tatizo. Pia, tatizo lingine, mwenye tatizo Hilo anatakiwa kunywa maji mengi wakati wote ili ku dilute jasho na hata urine yake.