Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Leo waziri wa uvuvi na mifugo alitembelea soko la samaki la kimataifa la ferry maeneo ya Kigamboni na kuwalalamikia wakaanga samaki kuwa harufu na moshi wa samaki unamkera sana maana unawanyima watu wa pale Ikulu ya Magogoni...
Anaendelea kwa kusema kuwa hata wageni wanaotembelea pale Ikulu hawakai kwa raha sababu ya hizo harufu
Hivi huyu waziri ametumia akili zake sawasawa katika kuongelea hii hoja? Mi nilidhani angeenda pale na mkakati wa namna ya kuhakikisha mazingira yale ni safi na angesema serikali imejipangaje kuhakikisha kuwa harufu na moshi huo unadhibitiwa
Hebu changieni wanaJF
Source...ITV news
Anaendelea kwa kusema kuwa hata wageni wanaotembelea pale Ikulu hawakai kwa raha sababu ya hizo harufu
Hivi huyu waziri ametumia akili zake sawasawa katika kuongelea hii hoja? Mi nilidhani angeenda pale na mkakati wa namna ya kuhakikisha mazingira yale ni safi na angesema serikali imejipangaje kuhakikisha kuwa harufu na moshi huo unadhibitiwa
Hebu changieni wanaJF
Source...ITV news