Mi hata nikilaga ndizi mbivu harufu huwa inabakia..yani! ni janga la kitaifa!Kula ndizi mbivu 3 tu. Baas!
Kula mavi!Waungwana msaada demu kachomoa nisimkisi Kisa nanukia pombe nimekula bia kadhaa tumeingia gheto kakataa anakwepesha mdomo nimepiga mswaki bado harufu aiishi nifanyeje?kama kua Dawa ya kutafuna kupuliza nk nk msaada
Kula mavi!
Leo hii mdomo unanauka, kesho mashine itashindwa kwenda mnara...acha pombe!!
Kula ndizi mbivu 3 tu. Baas!
Kunywa majimengi mkuu
Kula ndizi mbivu aina ya visukari
Pipi kifua
Sent from my EyePhone
Kula mavi!
tumia ice cream
kwa ushauri huu na mwingine unaozidi kumiminika kama tatizo litaendelea utakuwa mkono wa mtu!!Vuta unga. Unayumba tu hata harufu hutoi
Leo hii mdomo unanauka, kesho mashine itashindwa kwenda mnara...acha pombe!!
acha kunywa kaka ndo dawa sahihi.
Acha kunywa mlimbwende atakuruhusu kumkiss kila siku iendayo kwa Mungu.
STOP TAKING ALCOHOL!SO MANY RISKS ARE ATTACHED TO IT:
1. You may end up being addicted!
2. You may develop healthy complications, diabete, liver, kidney and digestive malfunctions
3. You may develop psyco mal behaviour!
4. Just leaving alone that, it may reduce your sexual capabilities.
Dawa yake ni kuacha pombe na hiyo harufu itatoweka kabisa
Acha ujinga dawa acha pombe
ila usipo wasikiliza jamaa kajitolea kukusaidia ubavu hali ikishakushinda!!Ikifikia hapo naomba nipewe tenda!
tafuna tangawizi au iliki hata kama unakunywa muda wa kazi ucwe na wasiwasi unakuwa mpyaa.itaka kumaliza kabisa na upoteze ukali wa iliki.tafuna hiyo iliki pamoja na big G.mwisho wa matatizo ya harufu..' dont drink and drive'
Acha ujinga dawa acha pombe
Ikifikia hapo naomba nipewe tenda!