Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

tofauti ni kubwa sana, na hizi 3rd Generation zinaingia katika (Hybrid) zikitumia mifumo ya mizunguko ya Betri, gas na Petrol na zinazokuja huku kwetu wengi wanakata mifumo hiyo na kubaki Petrol
kwa starehe wameongeza vitu kibao ila madhara pia yapo km suspension ya mbele tu service yake ya kubadili mazagazaga wanadai hadi 2m (naona umemTag Mshanajr)


Jr
 
Ukwaju
Ninakushukuru sana kwa ufafanuzi wako.
Kati ya hiyo Harrier niyoiweka hapo juu na hii hapa chini ya kuanzia 2003, 2004 na 2005 nk. Ipo ni confortable zaidi barabarani? Maana hii ni kama imepondwa na wadau kuwa zinakula mzinga sana.
Hizi gari Harrier matako ya nyani hazili mzinga, tumechangia ni dereva mwenyewe
wengi hawatofautishi kati ya Sedan na Sport Vehicle (SUV) Harrier inaingia popote na hasa hizi za toleo la 2008 zimetengenezwa kupunguza mitetemo ya barabarani, makelele na mausumbufu kibao mfano bodi, kuhamahama barabarani ndio maana unaambiwa watu wanajitupa hovyo
sasa hivi Harrier Hybrid wanakwenda hadi kilomita 21 kwa lita 1 ya petrol ambapo ni zaidi ya Corolla

(Angalia hapa chini mabadiliko waliyoyafanya kwa Hizi Hybrid na matumizi ya mafuta)
Before crossover SUVs (Sport Utility Vehicle) such as the Toyota Harrier came into production, there was really nothing in between the full-size SUV and the sedan. People liked the flexibility of the SUV, but not necessarily the hugeness and the clunkiness associated with full-size SUVs that were on the market at the time. The Harrier came as a perfect option, which we take a closer look at in this Toyota Harrier review.
One big thing that sets the Toyota Harrier apart from other luxury crossover SUVs in its class is the attention to NVH, that is, Noise, Vibration, and Harshness. On driving the Toyota Harrier, most come to the conclusion that NVH means “No Vibration or Harshness,” Toyota engineers must have done a pretty good job. The design of the Toyota Harrier makes more use of insulation and vibration dampers
Toyota Harrier Hybrid : Basic Specifications
  • length 4.72 - 4.755m
  • height 1.69 -1.69m
  • width 1.845 - 1.845m
Maximum power
Fuel Consumption21 - 21km/L
Drive TypeAWD
Engine Capacity2,493 - 3,310cc
 
Hizi gari Harrier matako ya nyani hazili mzinga, tumechangia ni dereva mwenyewe
wengi hawatofautishi kati ya Sedan na Sport Vehicle (SUV) Harrier inaingia popote na hasa hizi za toleo la 2008 zimetengenezwa kupunguza mitetemo ya barabarani, makelele na mausumbufu kibao mfano bodi, kuhamahama barabarani ndio maana unaambiwa watu wanajitupa hovyo
sasa hivi Harrier Hybrid wanakwenda hadi kilomita 21 kwa lita 1 ya petrol ambapo ni zaidi ya Corolla

(Angalia hapa chini mabadiliko waliyoyafanya kwa Hizi Hybrid na matumizi ya mafuta)
Before crossover SUVs (Sport Utility Vehicle) such as the Toyota Harrier came into production, there was really nothing in between the full-size SUV and the sedan. People liked the flexibility of the SUV, but not necessarily the hugeness and the clunkiness associated with full-size SUVs that were on the market at the time. The Harrier came as a perfect option, which we take a closer look at in this Toyota Harrier review.
One big thing that sets the Toyota Harrier apart from other luxury crossover SUVs in its class is the attention to NVH, that is, Noise, Vibration, and Harshness. On driving the Toyota Harrier, most come to the conclusion that NVH means “No Vibration or Harshness,” Toyota engineers must have done a pretty good job. The design of the Toyota Harrier makes more use of insulation and vibration dampers
Toyota Harrier Hybrid : Basic Specifications
  • length 4.72 - 4.755m
  • height 1.69 -1.69m
  • width 1.845 - 1.845m
Maximum power
Fuel Consumption21 - 21km/L
Drive TypeAWD
Engine Capacity2,493 - 3,310cc
Shukrani kubwa sana mkuu.
 
Nimesoma uzi mwanzo mwisho..wife kalilia hili tako la nyani..nimenunua..juz nimetoka hapa arusha mjini kwenda kia...nafika hapo mbele ya majivya chai ..nikiwa speed kama 130 nikakwepa shimo ..aiseeee..ilihama njia nusu iniroe uhai..kufika kia nikamwambia wife hii gar sii nzur kwa spid..inakufaa wewe na speed zako za 60..nimesoma uzi huu nimeelewa vingi....brevis na gx110 hazijawahii nifanyia uhuni kama ilivyonifanya tako la nyani..

NB:.WAMBIE HAO JAMAA kwennye hii clip kama unawafaham...watoto wao hawajawakariri vizuri..kufuta kisahan kutawakost
 
Ninayo na mimepanga kwenda nayo Mbeya from Dar na Kurudi nipite Dodoma ndo nirudi Dar mwezi wa nne. Kwa comments za watu humu inabidi nitembee not more than 100Km/h maana nitakuwa na familia. Honger Mshana Jr kwa bandiko lako.
Tupe experience ya ulaji mafuta mkuu km per litre
 
Nadhani hajui bei za haya magari na ushuru wakr unakuwaje asante kumwelewesha!
Hiyo dola 8800 unayoona hapo ni bei utakayolipa be forward tu ili wakufikishie hadi bandarini Dar es salaam bila ushuru. Ili kuitoa na uiendeshe TRA watakuchaji si chini ya milioni 12. Ila kama ulikuwa unamaanisha 20m, ambayo ipo kwa hy tangazo hapo kuwa ndy inatosha kumaliza kila kitu mpk kodi, basi wewe ndy utakuwa hujui unachokiongea..sababu hata ya mkononi tu gari ya aina hy na nzima kweli kweli, umeuziwa bei rahisi ni 23m.
 
Mkuu ninavijisenti vyangu tumegawana urithi sasa nataka hilo tako la nyani au prado tx swali langu ni je? Nitaijuaje hiyo tako la nyani hybrid
Hizi gari Harrier matako ya nyani hazili mzinga, tumechangia ni dereva mwenyewe
wengi hawatofautishi kati ya Sedan na Sport Vehicle (SUV) Harrier inaingia popote na hasa hizi za toleo la 2008 zimetengenezwa kupunguza mitetemo ya barabarani, makelele na mausumbufu kibao mfano bodi, kuhamahama barabarani ndio maana unaambiwa watu wanajitupa hovyo
sasa hivi Harrier Hybrid wanakwenda hadi kilomita 21 kwa lita 1 ya petrol ambapo ni zaidi ya Corolla

(Angalia hapa chini mabadiliko waliyoyafanya kwa Hizi Hybrid na matumizi ya mafuta)
Before crossover SUVs (Sport Utility Vehicle) such as the Toyota Harrier came into production, there was really nothing in between the full-size SUV and the sedan. People liked the flexibility of the SUV, but not necessarily the hugeness and the clunkiness associated with full-size SUVs that were on the market at the time. The Harrier came as a perfect option, which we take a closer look at in this Toyota Harrier review.
One big thing that sets the Toyota Harrier apart from other luxury crossover SUVs in its class is the attention to NVH, that is, Noise, Vibration, and Harshness. On driving the Toyota Harrier, most come to the conclusion that NVH means “No Vibration or Harshness,” Toyota engineers must have done a pretty good job. The design of the Toyota Harrier makes more use of insulation and vibration dampers
Toyota Harrier Hybrid : Basic Specifications
  • length 4.72 - 4.755m
  • height 1.69 -1.69m
  • width 1.845 - 1.845m
Maximum power
Fuel Consumption21 - 21km/L
Drive TypeAWD
Engine Capacity2,493 - 3,310cc
 
Mkuu ninavijisenti vyangu tumegawana urithi sasa nataka hilo tako la nyani au prado tx swali langu ni je? Nitaijuaje hiyo tako la nyani hybrid
Ok kuna tofauti kubwa sana sasa kwa hizi Harrier
kuna zile za miaka ya nyuma zenye cc3000 ambapo ni piston 6 hadi zenye cc2390 piston 4 tunaziita Old model
TSh 8,000,0002001 Toyota Harrier
Kinondoni, Ubungo Dar Es Salaam
mfano
1564343075245.png

hiyo kwa Showroom za Dar mpaka milioni 13 iliyoagizwa au fika Be Forward kule Ocean rd, hiyo picha ni kweli inauzwa huko www.zoomtanzania.com kwa bei ya milioni 8 tu
Matako ya nyani siku za nyuma zilijulikana km Lexus na Mshana Jr ndio kazielezea hiizi bwana uwena 23 milioni hadi 30
zenyewe taa zake nyuma zimekaa juuujuu kn gendaheka
1564343346443.png

Gari hiz kwa sasa wameziwekea injini ndogo ya 2.4 vvti
ni toleo la 2006 mpka 2010
pia kuna za 2014 naona zipo chache na ndizo zinabeba maana ya Hybrid kwani zina mchanganyiko ukiamua kutumia Petrol au gesi wakidai lita moja huenda hadi 18km
1564343737796.png

nakushauri ungeifuatilia Mada kuanzia mwanzo hapa hapa utakuta yote haya
 
Shukrani mkuu,ngoja niuchimbe uzi...ila kama kunamwenye hilo tako la nyani,prado vanguard au vx isiyozidi 30m atupie picha
Ok kuna tofauti kubwa sana sasa kwa hizi Harrier
kuna zile za miaka ya nyuma zenye cc3000 ambapo ni piston 6 hadi zenye cc2390 piston 4 tunaziita Old model
TSh 8,000,0002001 Toyota Harrier
Kinondoni, Ubungo Dar Es Salaam
mfano View attachment 1165841
hiyo kwa Showroom za Dar mpaka milioni 13 iliyoagizwa au fika Be Forward kule Ocean rd, hiyo picha ni kweli inauzwa huko www.zoomtanzania.com kwa bei ya milioni 8 tu
Matako ya nyani siku za nyuma zilijulikana km Lexus na Mshana Jr ndio kazielezea hiizi bwana uwena 23 milioni hadi 30
zenyewe taa zake nyuma zimekaa juuujuu kn gendaheka
View attachment 1165846
Gari hiz kwa sasa wameziwekea injini ndogo ya 2.4 vvti
ni toleo la 2006 mpka 2010
pia kuna za 2014 naona zipo chache na ndizo zinabeba maana ya Hybrid kwani zina mchanganyiko ukiamua kutumia Petrol au gesi wakidai lita moja huenda hadi 18km
View attachment 1165858
nakushauri ungeifuatilia Mada kuanzia mwanzo hapa hapa utakuta yote haya
 
Back
Top Bottom