Mkuuu kiboko ya mabishoooHuyu jamaa nasikia tu msanii wa bongo fleva au mziki wa kizazi kipya lakini sijawahi kusikia wimbo wake. Anafanyia wapi hiyo sanaa?
YUTUBIKA! Mbona yupo!Huyu jamaa nasikia tu msanii wa bongo fleva au mziki wa kizazi kipya lakini sijawahi kusikia wimbo wake. Anafanyia wapi hiyo sanaa?
Asee unacheka misibani badala ya kuhuzika daaa!Subiri ufiwe ndo utacheka vizuri!hahahahah
Naona leo usiku kwenye Nirvana atakuwepo mkuuu...kibiti ajaendaKwa kiki hajambo...amerudi kutoka china nasikia
Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
ahahaha kibiti akafe?Naona leo usiku kwenye Nirvana atakuwepo mkuuu...kibiti ajaenda
Daah! UmemalizaKweli jamaa kiboko ya mabishoo,mgumu mpaka mwisho,hata akicheka anaonekana kanuna.
Mbona mnacheka misibani!ha ha ha
duuuh..mkuu umeuaKweli jamaa kiboko ya mabishoo,mgumu mpaka mwisho,hata akicheka anaonekana kanuna.
kuna watu wanapita wananichekeshaMbona mnacheka misibani!
Ha ha ha ha ha ana kwambia maisha matamu chuma ajawah kuona ile mh ali tolewa kipindi kileahahaha kibiti akafe?
Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
Hahaah noma mkuu...anaiheshimu pipe sasa hiviHa ha ha ha ha ana kwambia maisha matamu chuma ajawah kuona ile mh ali tolewa kipindi kile