miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 904
Ukiona sura inalipa unakuw mtu wa mediaa sasa wewe kila ukijitokeza unatukanwa mara sura yako kama ulifukiwa kaburin utakuwa wa media hapo
Ukiona sura inalipa unakuw mtu wa mediaa sasa wewe kila ukijitokeza unatukanwa mara sura yako kama ulifukiwa kaburin utakuwa wa media hapo
Mm mwenyewe namshangaa anavompigia promo MTU mwenyewe anajiskia Ka nn yaani bora hata angesema rayvannysio kweli bro,,uyo asalimii watu,,majirani na boss wake walimzibia njia coz anawapita bila kuwasalimia mpaka boss wake akamuombea msamaha
HahahahahaWakija hapa na kukuuliza "kwani makonde chio ntu "uwajibu .
Hizi ndiyo akili za Kimakonde, Mkiwa top ten ya shule za mwisho kitaifa kumbe ni haki yenu
Kelele za Mk**** hazibomoi choo......Hizi ndiyo akili za Kimakonde, Mkiwa top ten ya shule za mwisho kitaifa kumbe ni haki yenu
Hawashindwi kitu waleHa ha ha ha, hata demu wangu?
Am sorry nimejifunza kiswahili as foreign language nd maana kukiandika napata shida sanaHapo sijaelewa unamaana gani kusema "sana ya tanzania", na "Tanzania na Taifa letu kwa ujumla"
Unamaana Tanzania ndo kwao harmonize na wewe kwenu bila shaka ni nchini Afrika sio?