McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,388
- 7,551
Ukweli kabisa.. na sio huyo tu ...
Uko sahihi kuna swahiba hapo juu alikua anabisha wakati hawa wadudu watu wakikusanya sarafu huwa wanaenda kupima kuna jipya gani.
Ukweli kabisa.. na sio huyo tu ...
Chinga OneHivi kuna mmakonde anaeijua jf
Mkuu kwanii wamakonde sisii ni washamba sana au...Hivi kuna mmakonde anaeijua jf
Tafadhali nduguHivi kuna mmakonde anaeijua jf
Hawaijui JF ila hao ndio wanawakazia wake zenu,dada zenu na mademu zenu vizuuuuuri.........Hivi kuna mmakonde anaeijua jf
Cc.stev nyerereWolper au? shamba la bibi lile kila mjukuu anaruhusiwa kuvuna siku ukija mjini uliza mpwa upelekwe maskani madalali wakupe bei zao.
MhhHivi kuna mmakonde anaeijua jf
SawaHarmonize umeamua ujipe promo, haya bana tumekusikia tunasubiri uje na jipya tena
Hata akifabya alichofanya harmonize akamoata?..aaaaaaaah acha zako mjini hapa wadada mazuri ni bure mchawi mkwanja na jina we harmo na wolper wapi na wapi Mbna dogo anakula mzigoLakini anamkaza demu ambae hata wewe ufanye nini huwezi mpata
Hamna Mmakonde mwenye jeuri ya kumtongoza demu angu!Hawaijui JF ila hao ndio wanawakazia wake zenu,dada zenu na mademu zenu vizuuuuuri.........
mmmmhhh, siyo kweli kwamba hata afanye nn hawezi mpata.Lakini anamkaza demu ambae hata wewe ufanye nini huwezi mpata
Hamna Mmakonde mwenye jeuri ya kumtongoza demu angu!
Hawa jamaa wanapenda beach balaa inapenda kuogelea! Mmakonde anaweza kufanya kazi kwako na usimlipe ukampeleka kuogelea beach na akasahau kama kafanya kazi kwako