Harmonize wa WCB anaonekana tofauti sana na wana WCB wenzake

Nenda mlimani city mida ya jioni utawakuta hao madalali wamesimama pale kwenye mlango wa kuingilia jirani na marrybrown, utawaona wavulana kila siku wako pale, waulize demu yoyote watakuletea.
 
Lakini anamkaza demu ambae hata wewe ufanye nini huwezi mpata
Hata akifabya alichofanya harmonize akamoata?..aaaaaaaah acha zako mjini hapa wadada mazuri ni bure mchawi mkwanja na jina we harmo na wolper wapi na wapi Mbna dogo anakula mzigo
 
Hamna Mmakonde mwenye jeuri ya kumtongoza demu angu!

Hawa jamaa wanapenda beach balaa inapenda kuogelea! Mmakonde anaweza kufanya kazi kwako na usimlipe ukampeleka kuogelea beach na akasahau kama kafanya kazi kwako

Wewe ni bado sana,jiongeze kidogo basi......unaongelea class ipi ya wamakonde???walinzi???......house boy??? hahahahahaaaa.....tunawagongea sana nyie...
 
Back
Top Bottom